Surah Zumar aya 32 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Zumar aya 32 in arabic text(The Crowds).
  
   

﴿۞ فَمَنْ أَظْلَمُ مِمَّن كَذَبَ عَلَى اللَّهِ وَكَذَّبَ بِالصِّدْقِ إِذْ جَاءَهُ ۚ أَلَيْسَ فِي جَهَنَّمَ مَثْوًى لِّلْكَافِرِينَ
[ الزمر: 32]

BASI NI NANI dhaalimu mkubwa kuliko yule aliye msingizia uwongo Mwenyezi Mungu na kuikanusha kweli imfikiapo? Je! Siyo katika Jahannamu makaazi ya hao makafiri?

Surah Az-Zumar in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


So who is more unjust than one who lies about Allah and denies the truth when it has come to him? Is there not in Hell a residence for the disbelievers?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


BASI NI NANI dhaalimu mkubwa kuliko yule aliye msingizia uwongo Mwenyezi Mungu na kuikanusha kweli imfikiapo? Je! Siyo katika Jahannamu makaazi ya hao makafiri?


Basi hapana aliye dhaalimu mkubwa zaidi kuliko yule anaye msingizia Mwenyezi Mungu lisio kuwa lake, na akaikanusha Haki bila ya kufikiri wala kuzingatia pale inapo mjia kwa ndimi za Mitume. Kwani katika Jahannamu sio makaazi ya makafiri walio ghurika hata wakamfanyia jeuri Mwenyezi Mungu?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 32 from Zumar


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na lau kuwa Haki ingeli fuata matamanio yao, basi zingeli haribika mbingu na ardhi na
  2. Yeye ndiye aliye kuumbeni katika nafsi moja; na katika hiyo hiyo akamfanya mwenzi wake, ili
  3. Je, watu wa mijini wameaminisha ya kuwa adhabu yetu haitawafika usiku, nao wamelala?
  4. Na wao ni mashahidi wa yale waliyo kuwa wakiwafanyia Waumini.
  5. Kwa yakini sisi tutawateremshia watu wa mji huu adhabu kutoka mbinguni kwa sababu ya uchafu
  6. Na haikuwa jawabu ya kaumu yake isipo kuwa kuambizana: Wafukuzeni katika mji wenu, maana hao
  7. Sema: Halitusibu ila alilo tuandikia Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye Mola wetu Mlinzi. Na Waumini wamtegemee
  8. Zilizo tiwa alama kwa Mola wako Mlezi. Na haya hayako mbali na wenye kudhulumu wengineo.
  9. Mtume anaye kusomeeni Aya za Mwenyezi Mungu zinazo bainisha, ili kuwatoa walio amini na wakatenda
  10. Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu!

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Zumar with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Zumar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zumar Complete with high quality
Surah Zumar Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Zumar Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Zumar Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Zumar Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Zumar Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Zumar Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Zumar Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Zumar Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Zumar Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Zumar Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Zumar Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Zumar Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Zumar Al Hosary
Al Hosary
Surah Zumar Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Zumar Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب