Surah Furqan aya 36 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَقُلْنَا اذْهَبَا إِلَى الْقَوْمِ الَّذِينَ كَذَّبُوا بِآيَاتِنَا فَدَمَّرْنَاهُمْ تَدْمِيرًا﴾
[ الفرقان: 36]
Tukawaambia: Nendeni kwa watu walio kanusha Ishara zetu. Basi tukawateketeza kabisa.
Surah Al-Furqan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And We said, "Go both of you to the people who have denied Our signs." Then We destroyed them with [complete] destruction.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
. Tukawaambia: Nendeni kwa watu walio kanusha Ishara zetu. Basi tukawateketeza kabisa.
Tukasema: Nenda wewe na nduguyo kwa Firauni na watu wake. Tukamuunga mkono kwa miujiza inayo onyesha ukweli wake. Hawakumuamini, wakamkadhibisha. Mwisho wao ukawa tukawateketeza na tukawafutilia mbali!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
- Tutazitia khofu nyoyo za walio kufuru kwa vile walivyo mshirikisha Mwenyezi Mungu na washirika ambao
- Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.
- Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!
- Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!
- Basi wale wajumbe walipo fika kwa Luut'i,
- Na walisema: Hapana ila huu uhai wetu wa duniani - twafa na twaishi, na hapana
- Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.
- Na Salamu juu ya Mitume.
- Wakasema: Je! Umetujia kwa maneno ya kweli au wewe ni katika wachezao tu?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Furqan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Furqan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Furqan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers