Surah An Nas aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مِن شَرِّ الْوَسْوَاسِ الْخَنَّاسِ﴾
[ الناس: 4]
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
Surah An-Nas in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
From the evil of the retreating whisperer -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas,
Na shari ya mwenye kutia wasiwasi watu, ambaye hurudi nyuma ukiomba msaada kwa Mwenyezi Mungu dhidi yake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Hamna lenu jambo mpaka muishike Taurati na Injili na yote
- Hili ni Onyo katika maonyo yale yale ya zamani.
- Na siku tutakapo wakusanya wote, kisha tutawaambia walio shirikisha: Simameni mahali penu nyinyi na wale
- (Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Iblisi! Una nini hata hukuwa pamoja na walio sujudu?
- Na kaeni majumbani kwenu, wala msijishauwe kwa majishauwo ya kijahilia ya kizamani. Na shikeni Sala,
- Siku ambayo mtu atamkimbia nduguye,
- Kwa hakika wanao teremsha sauti zao mbele ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, hao ndio Mwenyezi
- Na nimeamrishwa niwe wa mwanzo wa Waislamu.
- Na bila ya shaka walikwisha kanusha walio kuwa kabla yao; basi kulikuwaje kukasirika kwangu?
- Ewe baba yangu! Kwa yakini imenifikia ilimu isiyo kufikia wewe. Basi nifuate mimi, nami nitakuongoza
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Nas with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Nas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Nas Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers