Surah An Nas aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِي يُوَسْوِسُ فِي صُدُورِ النَّاسِ﴾
[ الناس: 5]
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
Surah An-Nas in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Who whispers [evil] into the breasts of mankind -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,
Ambaye hutia kwa kificho katika vifua vya watu ya kuwaachisha wasende kwenye njia ya uwongofu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wala haikuwa Ibrahim kumtakia msamaha baba yake ila kwa sababu wa ahadi aliyo fanya naye.
- Haiwi kuwa makafiri ndio waamirishe misikiti ya Mwenyezi Mungu, hali wanajishuhudishia wenyewe ukafiri. Hao ndio
- Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!
- Hakika amekwisha kujieni Mtume kutokana na nyinyi wenyewe; yanamhuzunisha yanayo kutaabisheni; anakuhangaikieni sana. Kwa Waumini
- Enyi mlio amini! Muaminini Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Kitabu alicho kiteremsha juu ya
- Na hapana mji wowote ila Sisi tutauteketeza kabla ya Siku ya Kiyama, au tutaupa adhabu
- Na hakika juu yako ipo laana mpaka Siku ya Malipo.
- Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
- Na shari ya giza la usiku liingiapo,
- Umeona kama yeye akikanusha na anarudi nyuma?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Nas with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Nas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Nas Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



