Surah Kahf aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَيُنذِرَ الَّذِينَ قَالُوا اتَّخَذَ اللَّهُ وَلَدًا﴾
[ الكهف: 4]
Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana.
Surah Al-Kahf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And to warn those who say, "Allah has taken a son."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kiwaonye wanao nena: Mwenyezi Mungu ana mwana.
Na kiwaonye kwa njia makhsusi wale walio msingizia Mwenyezi Mungu kuwa ana mwana, na hali Yeye ametakasika kuwa kama viumbe, akawa mwenye kuzaa au akazaliwa mtoto wake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sisi hatuwateremshi Malaika ila kwa sababu ya haki, na hapo hawatapewa muhula.
- Na ama walio amini na wakatenda mema atawalipa ujira wao sawa sawa, na atawazidishia kwa
- Yeye ndiye Muumba wa mbingu na ardhi pasina ruwaza; na anapo taka jambo basi huliambia
- Na ingawa kabla ya kuteremshiwa walikuwa wenye kukata tamaa.
- Na utakapo yaona, utakuwa umeona neema na ufalme mkubwa.
- Huoni kuwa Mwenyezi Mungu ameziumba mbingu na ardhi kwa Haki? Akitaka atakuondoeni na alete viumbe
- Na kwamba ni juu yake ufufuo mwengine.
- Na Waonyaji waliwafikia watu wa Firauni.
- Sema: Halitusibu ila alilo tuandikia Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye Mola wetu Mlinzi. Na Waumini wamtegemee
- Nenda kwa Firauni. Hakika yeye amezidi jeuri.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Kahf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Kahf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kahf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers