Surah Hud aya 99 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hud aya 99 in arabic text(Hud).
  
   
ayat 99 from Surah Hud

﴿وَأُتْبِعُوا فِي هَٰذِهِ لَعْنَةً وَيَوْمَ الْقِيَامَةِ ۚ بِئْسَ الرِّفْدُ الْمَرْفُودُ
[ هود: 99]

Nao wamefuatishiwa laana hapa duniani na Siku ya Kiyama. Ni mabaya yalioje watakayo pewa!

Surah Hud in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And they were followed in this [world] with a curse and on the Day of Resurrection. And wretched is the gift which is given.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Nao wamefuatishiwa laana hapa duniani na Siku ya Kiyama. Ni mabaya yalioje watakayo pewa!


Na wao katika dunia hii iliwafuata laana ya Mwenyezi Mungu, na ya Malaika, na ya watu. Na Siku ya Kiyama kadhaalika itawafuata laana hiyo vile vile, kwani hiyo ndiyo zawadi yao. Zawadi hiyo ni ovu ya kuonyesha dhambi. Itasemwa : Ovu mno zawadi hii wapewao watu hawa!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 99 from Hud


Ayats from Quran in Swahili

  1. Akasema: Tupeni! Basi walipo tupa waliyazuga macho ya watu na wakawatia khofu, na wakaleta uchawi
  2. Na ziko kwake funguo za ghaibu; hakuna azijuaye ila Yeye tu. Na Yeye anajua kilioko
  3. Huenda Mola wenu Mlezi akakurehemuni. Na mkirudia na Sisi tutarudia. Na tumeifanya Jahannamu kuwa ni
  4. Na inapo wajia Ishara, wao husema: Hatutoamini mpaka tupewe mfano wa walio pewa Mitume wa
  5. Na Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Hakika Mimi nitamuumba mtu kwa udongo unao toa
  6. Ili Yeye awalipe ujira wao kwa ukamilifu, na awazidishie kutokana na fadhila zake. Hakika Yeye
  7. Hili ni Onyo katika maonyo yale yale ya zamani.
  8. Anaye sikia Aya za Mwenyezi Mungu akisomewa, kisha anashikilia yale yale aliyo katazwa, na anajivuna,
  9. Sema: Ni nani anaye kuruzukuni kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Sema: Mwenyezi Mungu! Na hakika
  10. Je! Mlidhani ya kwamba tulikuumbeni bure na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hud with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hud mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hud Complete with high quality
Surah Hud Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hud Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hud Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hud Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hud Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hud Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hud Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Hud Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hud Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hud Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hud Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hud Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hud Al Hosary
Al Hosary
Surah Hud Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hud Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, May 9, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب