Surah Qaf aya 44 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَوْمَ تَشَقَّقُ الْأَرْضُ عَنْهُمْ سِرَاعًا ۚ ذَٰلِكَ حَشْرٌ عَلَيْنَا يَسِيرٌ﴾
[ ق: 44]
Siku itapo wapasukia ardhi mbio mbio! Mkusanyo huo kwetu ni mwepesi.
Surah Qaf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
On the Day the earth breaks away from them [and they emerge] rapidly; that is a gathering easy for Us.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Siku itapo wapasukia ardhi mbio mbio! Mkusanyo huo kwetu ni mwepesi.
Siku itakapo wapasukilia ardhi, na watoke humo mbio mbio wakikimbilia mkutanoni...Hilo jambo kuu la kuwakusanya wote ni dogo na jepesi kwetu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi Shet'ani aliwatia wasiwasi ili kuwafichulia tupu zao walizo fichiwa, na akasema: Mola Mlezi wenu
- Na Sisi hakika tuliwapelekea waonyaji.
- Nasi tutawaita Mazabania!
- Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya
- Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
- Humo wataegemea matakia, wawe wanaagiza humo matunda mengi na vinywaji.
- Na katika umbo lenu na katika wanyama alio watawanya zimo Ishara kwa watu wenye yakini.
- Na bila ya shaka tuliiacha iwe ni Ishara. Lakini je, yupo anaye kumbuka?
- Ambaye ameziumba mbingu na ardhi, na viliomo ndani yake kwa siku sita. Kisha akatawala juu
- Na nini kitakacho kujuulisha siku ya kupambanua ni nini?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qaf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qaf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers