Surah Fussilat aya 33 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Fussilat aya 33 in arabic text(Expounded).
  
   

﴿وَمَنْ أَحْسَنُ قَوْلًا مِّمَّن دَعَا إِلَى اللَّهِ وَعَمِلَ صَالِحًا وَقَالَ إِنَّنِي مِنَ الْمُسْلِمِينَ﴾
[ فصلت: 33]

Na ni nani mbora wa kusema kuliko aitaye kwa Mwenyezi Mungu na akatenda mema, na akasema: Hakika mimi ni katika Waislamu?

Surah Fussilat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And who is better in speech than one who invites to Allah and does righteousness and says, "Indeed, I am of the Muslims."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na ni nani mbora wa kusema kuliko aitaye kwa Mwenyezi Mungu na akatenda mema, na akasema: Hakika mimi ni katika Waislamu?


Hapana mwenye kauli nzuri zaidi kuliko mwenye kulingania Tawhid ya Mwenyezi Mungu na utiifu wake, na pamoja na hayo, akatenda vitendo vyema, na akasema kwa kuungama itikadi yake: Hakika mimi ni miongoni mwa Waislamu, yaani wenye kunyenyekea amri za Mwenyezi Mungu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 33 from Fussilat


Ayats from Quran in Swahili

  1. (Musa) akasema: Basi ondoka! Na kwa yakini utakuwa katika maisha ukisema: Usiniguse. Na hakika una
  2. Wala wewe hukuwa upande wa magharibi tulipo mpa Musa amri, wala hukuwa katika walio hudhuria.
  3. Siku hiyo ataambiwa aliyo yatanguliza na aliyo yaakhirisha.
  4. Na katika Ishara zake ni vyombo vinavyo kwenda na kurejea baharini kama vilima.
  5. (Firauni) akasema: Oh! Mnamuamini kabla sijakupeni ruhusa? Hakika yeye ndiye mkubwa wenu aliye kufundisheni uchawi.
  6. Bustani za milele wataziingia; iwe inapita kati yake mito. Humo watapata watakacho. Hivi ndivyo Mwenyezi
  7. Na Luqman alipo mwambia mwanawe kwa kumpa mawaidha: Ewe mwanangu! Usimshirikishe Mwenyezi Mungu. Kwani hakika
  8. Sisi ni vipenzi vyenu katika maisha ya dunia na katika Akhera, na humo mtapata kinacho
  9. Hakika katika mbingu na ardhi ziko Ishara kwa Waumini.
  10. Yeye ndiye anaye kuendesheni bara na baharini. Hata mnapo kuwa majahazini na yakawa yanakwenda nao

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Fussilat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Fussilat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fussilat Complete with high quality
Surah Fussilat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Fussilat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Fussilat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Fussilat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Fussilat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Fussilat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Fussilat Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Fussilat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Fussilat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Fussilat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Fussilat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Fussilat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Fussilat Al Hosary
Al Hosary
Surah Fussilat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Fussilat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 16, 2024

Please remember us in your sincere prayers