Surah Yasin aya 50 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَا يَسْتَطِيعُونَ تَوْصِيَةً وَلَا إِلَىٰ أَهْلِهِمْ يَرْجِعُونَ﴾
[ يس: 50]
Basi hawataweza kuusia, wala kwa watu wao hawarejei.
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they will not be able [to give] any instruction, nor to their people can they return.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi hawataweza kuusia, wala kwa watu wao hawarejei.
Kwa upesi wa hayo yatakayo wateremkia, hawatowahi kuusia chochote, wala kurejea kwa ahali zao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ndugu zao wanawavutia kwenye upotofu, kisha wao hawaachi.
- Na tukawaokoa walio amini na wakawa wanamcha-mngu.
- Ili iwe ni riziki kwa waja wangu. Na tukaifufua kwa maji nchi iliyo kuwa imekufa.
- Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, hakika haya ni kweli kama ilivyo
- Basi anaye taka atakumbuka.
- Hakika hiyo ni kituo na makao mabaya.
- Je, wao wanayo miguu ya kwendea? Au wanayo mikono ya kutetea? Au wanayo macho ya
- Na mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume ili mpate kurehemewa.
- Na vipi mkufuru hali nyinyi mnasomewa Aya za Mwenyezi Mungu na Mtume yuko kati yenu?
- Ni Nyota yenye mwanga mkali.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



