Surah Yasin aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مَا يَنظُرُونَ إِلَّا صَيْحَةً وَاحِدَةً تَأْخُذُهُمْ وَهُمْ يَخِصِّمُونَ﴾
[ يس: 49]
Hawangojei ila ukelele mmoja tu utakao wachukua nao wamo kuzozana.
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They do not await except one blast which will seize them while they are disputing.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hawangojei ila ukelele mmoja tu utakao wachukua nao wamo kuzozana.
Hawangojei ila sauti moja tu, iwamalize kwa ghafla, nao wakizozana katika mambo ya kidunia, wameghafilika na Akhera.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ama wale ambao mizani zao zitakuwa nzito, hao ndio wenye kufanikiwa.
- Je! Yule ambaye Mwenyezi Mungu amemfungulia kifua chake kwa Uislamu, na akawa yuko kwenye nuru
- Enyi watu! Umekufikieni ushahidi kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Na tumekuteremshieni Nuru iliyo wazi.
- Basi wale wajumbe walipo fika kwa Luut'i,
- Na wajumbe wetu walipo mjia Ibrahim na bishara, walisema: Hakika sisi hapana shaka tutawahiliki watu
- Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na kila nafsi iangalie inayo yatanguliza kwa ajili ya
- Sema: Mola wangu Mlezi! Ukinionyesha adhabu waliyo ahidiwa,
- Watapata humo kila namna ya matunda na watapata kila watakacho kitaka.
- Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.
- Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



