Surah Yasin aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مَا يَنظُرُونَ إِلَّا صَيْحَةً وَاحِدَةً تَأْخُذُهُمْ وَهُمْ يَخِصِّمُونَ﴾
[ يس: 49]
Hawangojei ila ukelele mmoja tu utakao wachukua nao wamo kuzozana.
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They do not await except one blast which will seize them while they are disputing.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hawangojei ila ukelele mmoja tu utakao wachukua nao wamo kuzozana.
Hawangojei ila sauti moja tu, iwamalize kwa ghafla, nao wakizozana katika mambo ya kidunia, wameghafilika na Akhera.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! Mnaiona mbegu ya uzazi mnayo idondokeza?
- (Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
- Moto utababua nyuso zao, nao watakuwa na nyuso zilizo kunjana.
- Yatawekwa juu yao mat'abaka ya moto, na chini yao mat'abaka. Kwa hayo Mwenyezi Mungu anawakhofisha
- Sema: Tembeeni katika ardhi na tazameni jinsi alivyo anzisha uumbaji; kisha Mwenyezi Mungu ndiye anaye
- Na wanawake walio achwa wapewe cha kuwaliwaza kwa mujibu wa Sharia. Haya ni waajibu kwa
- Mwenye kutenda uovu hatalipwa ila sawa na huo uwovu wake, na anaye tenda wema, akiwa
- Na kwamba hakika Saa itakuja hapana shaka kwa hilo, na kwamba hakika Mwenyezi Mungu atawafufua
- Ambaye ndiye aliye niumba, na Yeye ndiye ananiongoa,
- Akasema: Hakika mimi namshitakia Mwenyezi Mungu sikitiko langu na huzuni yangu. Na ninajua kwa Mwenyezi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



