Surah Ahqaf aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ahqaf aya 14 in arabic text(The Sand-Dunes).
  
   

﴿أُولَٰئِكَ أَصْحَابُ الْجَنَّةِ خَالِدِينَ فِيهَا جَزَاءً بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ﴾
[ الأحقاف: 14]

Hao ndio watu wa Peponi, watadumu humo, kuwa ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.

Surah Al-Ahqaaf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Those are the companions of Paradise, abiding eternally therein as reward for what they used to do.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hao ndio watu wa Peponi, watadumu humo, kuwa ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.


Hao wanao sifika kwa kumuamini Mwenyezi Mungu Mmoja, na kusimama sawa, ndio walio khusika kuingia Peponi wakikaa humo milele. Mwenyezi Mungu amewapa hayo kuwa ni jaza yao kwa mema waliyo kuwa wakiyatenda.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 14 from Ahqaf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na walio kufuru, basi kwao ni maangamizo, na atavipoteza vitendo vyao.
  2. Waambie waja wangu ya kwamba Mimi ndiye Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
  3. Je! Hawatubu kwa Mwenyezi Mungu na wakamwomba msamaha? Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira na
  4. Na ninawapururia muhula; hakika hila zangu ni imara.
  5. Hakika kilimpitia binaadamu kipindi katika zama ambacho kwamba hakuwa kitu kinacho tajwa.
  6. Siku litakapo pulizwa barugumu, na tukawakusanya wakhalifu Siku hiyo, hali macho yao ya kibuluu.
  7. Wakasema: Ewe Shua'ibu! Ni sala zako ndizo zinazo kuamrisha tuyaache waliyo kuwa wakiyaabudu baba zetu,
  8. Na siku atakapo waita na akasema: Wako wapi mlio kuwa mkidai kuwa ni washirika wangu?
  9. Na haiwafikii Ishara yoyote katika Ishara za Mola wao Mlezi ila wao huwa ni wenye
  10. Na inapo kufikieni taabu katika bahari, hao mnao waomba wanapotea, isipo kuwa Yeye tu. Na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ahqaf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ahqaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahqaf Complete with high quality
Surah Ahqaf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ahqaf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ahqaf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ahqaf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ahqaf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ahqaf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ahqaf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ahqaf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ahqaf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ahqaf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ahqaf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ahqaf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ahqaf Al Hosary
Al Hosary
Surah Ahqaf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ahqaf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, September 16, 2025

Please remember us in your sincere prayers