Surah Kahf aya 51 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Kahf aya 51 in arabic text(The Cave).
  
   

﴿۞ مَّا أَشْهَدتُّهُمْ خَلْقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَلَا خَلْقَ أَنفُسِهِمْ وَمَا كُنتُ مُتَّخِذَ الْمُضِلِّينَ عَضُدًا﴾
[ الكهف: 51]

Sikuwashuhudisha kuumbwa kwa mbingu na ardhi, wala kuumbwa kwa nafsi zao. Wala sikuwafanya wapotezao kuwa ni wasaidizi.

Surah Al-Kahf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


I did not make them witness to the creation of the heavens and the earth or to the creation of themselves, and I would not have taken the misguiders as assistants.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sikuwashuhudisha kuumbwa kwa mbingu na ardhi, wala kuumbwa kwa nafsi zao. Wala sikuwafanya wapotezao kuwa ni wasaidizi.


Mimi sikumwonyesha Iblisi wala dhuriya zake nilipo umba mbingu wala ardhi, wala sikuwashuhudisha baadhi yao nilipo waumba wenzao ili wanisaidie. Wala sikuwa nina haja ya msaidizi wowote, licha kuwa nikatafute wapotovu ndio wawe wasaidizi wangu. Basi yawaje mnakwenda mtii Shetani na mkaniasi Mimi?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 51 from Kahf


Ayats from Quran in Swahili

  1. (Musa) akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Nikunjulie kifua changu,
  2. Na ni katika rehema zake amekufanyieni usiku na mchana mpate kupumzika humo na mtafute fadhila
  3. Na humo watapiga makelele: Mola wetu Mlezi! Tutoe tufanye mema sio yale tuliyo kuwa tukiyafanya.
  4. Hao ndio Mwenyezi Mungu ameziziba nyoyo zao na masikio yao na macho yao. Na hao
  5. Musa akasema: Wewe unajua bila ya shaka kuwa haya hakuyateremsha ila Mola Mlezi wa mbingu
  6. Na wakadhani kuwa hapatakuwa majaribio; basi wakawa vipofu na viziwi. Kisha Mwenyezi Mungu akawapokelea toba
  7. Enyi mlio amini! Wakikujilieni wanawake Waumini walio hama, basi wafanyieni mtihani - Mwenyezi Mungu ndiye
  8. Na tulimtuma Musa pamoja na miujiza yetu, tukamwambia: Watoe watu wako kwenye giza uwapeleke kwenye
  9. Na ambao hutoa mali yao kwa kuonyesha watu, wala hawamuamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya
  10. Kisha baada ya dhiki alikuteremshieni utulivu - usingizi ambao ulifunika kundi moja kati yenu. Na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Kahf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Kahf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kahf Complete with high quality
Surah Kahf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Kahf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Kahf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Kahf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Kahf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Kahf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Kahf Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Kahf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Kahf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Kahf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Kahf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Kahf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Kahf Al Hosary
Al Hosary
Surah Kahf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Kahf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب