Surah Hajj aya 51 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالَّذِينَ سَعَوْا فِي آيَاتِنَا مُعَاجِزِينَ أُولَٰئِكَ أَصْحَابُ الْجَحِيمِ﴾
[ الحج: 51]
Na wanao jitahidi kuzipinga Aya zetu hao ndio watu wa Motoni.
Surah Al-Hajj in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But the ones who strove against Our verses, [seeking] to cause failure - those are the companions of Hellfire.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wanao jitahidi kuzipinga Aya zetu hao ndio watu wa Motoni.
Na wale walio jikukusa nafsi zao katika kuipiga vita Qurani kushindana na Waumini na kuwapinga, wakitamani na kudai kwa uwongo, kwamba wao watapata wayatakayo - watu hao watabaki milele katika adhabu ya Motoni.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wala msiwe kama wale walio toka majumbani mwao kwa fakhari na kujionyesha kwa watu, na
- Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe.
- Na alipo tangaza Mola wenu Mlezi: Mkishukuru nitakuzidishieni; na mkikufuru, basi adhabu yangu ni kali.
- Na Ismail, na Idris, na Dhulkifli - wote walikuwa miongoni mwa wanao subiri.
- Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,
- Kwani mwanaadamu haoni ya kwamba Sisi tumemuumba yeye kutokana na tone la manii? Kisha sasa
- Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu. Sema: Ni nani mwenye
- Lakini walikatiana jambo lao mapande mbali mbali. Kila kundi likifurahia kwa waliyo nayo.
- Wala msifanye ulegevu kuwafukuzia kaumu ya maadui. Ikiwa mnaumia, basi nao pia wanaumia kama mnavyo
- Mwenyezi Mungu amemlaani. Naye Shet'ani alisema: Kwa yakini nitawachukua sehemu maalumu katika waja wako.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hajj with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hajj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hajj Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



