Surah Araf aya 204 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِذَا قُرِئَ الْقُرْآنُ فَاسْتَمِعُوا لَهُ وَأَنصِتُوا لَعَلَّكُمْ تُرْحَمُونَ﴾
[ الأعراف: 204]
Na isomwapo Qur'ani isikilizeni na mnyamaze ili mpate kurehemewa.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So when the Qur'an is recited, then listen to it and pay attention that you may receive mercy.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na isomwapo Qurani isikilizeni na mnyamaze ili mpate kurehemewa.
Enyi Waumini! Mkisomewa Qurani isikilizeni kwa masikio yenu, mpate kuzingatia mawaidha yake, na msikilize vizuri mpate kuipata rehema.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Humo katika kila matunda zimo namna mbili.
- Na hakika tuliwapa Daudi na Sulaiman ilimu, na wakasema: Alhamdu Lillahi, Kuhimidiwa kote ni kwa
- Na amefanya ukutumikieni usiku na mchana, na jua na mwezi, na nyota zikutumikieni kwa amri
- Basi jua ya kwamba hapana mungu ila Mwenyezi Mungu, na omba maghufira kwa dhambi zako
- Basi usiwafanyie haraka. Sisi tunawahisabia idadi ya siku zao.
- Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.
- Na tukawanyeshea mvua, basi ni ovu mno mvua ya waliyo onywa.
- Enyi mlio amini! Mnapo simama kwa ajili ya Sala basi osheni nyuso zenu, na mikono
- Na mkiwa safarini na hamkupata mwandishi, yatosha kukabidhiwa rahani. Na mmoja wenu akimwekea amana mwenziwe
- Je! Hapana katika haya kiapo kwa mwenye akili?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



