Surah Hajj aya 56 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hajj aya 56 in arabic text(The Pilgrimage).
  
   

﴿الْمُلْكُ يَوْمَئِذٍ لِّلَّهِ يَحْكُمُ بَيْنَهُمْ ۚ فَالَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ فِي جَنَّاتِ النَّعِيمِ
[ الحج: 56]

Ufalme wote siku hiyo utakuwa wa Mwenyezi Mungu. Atahukumu baina yao. Basi walio amini na wakatenda mema watakuwa katika Bustani zenye neema.

Surah Al-Hajj in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[All] sovereignty that Day is for Allah; He will judge between them. So they who believed and did righteous deeds will be in the Gardens of Pleasure.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ufalme wote siku hiyo utakuwa wa Mwenyezi Mungu. Atahukumu baina yao. Basi walio amini na wakatenda mema watakuwa katika Bustani zenye neema.


Siku ambayo madaraka ya nguvu, na uendeshaji mambo usio na ukomo wote, ni wa Mwenyezi Mungu pekee. Siku hiyo ndipo atapo hukumu baina ya waja wake. Walio amini na wakatenda mema watadumu katika Bustani zilizo jaa kila namna ya neema.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 56 from Hajj


Ayats from Quran in Swahili

  1. Maamkiano yao siku ya kukutana naye yatakuwa: Salama! Na amewaandalia malipo ya ukarimu.
  2. Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na
  3. Waache wale, na wastarehe, na iwazuge tamaa. Watakuja jua.
  4. Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
  5. Ambao wanazuilia Njia ya Mwenyezi Mungu, na wanaitakia ipotoke, na wanaikataa Akhera.
  6. Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?
  7. Na lau kuwa watu wa miji wangeli amini na wakamchamngu, kwa yakini tungeli wafungulia baraka
  8. Basi tukamdidimiza yeye na nyumba yake katika ardhi; wala halikuwepo kundi lolote la kumnusuru kwa
  9. Na mfano wa wale wanao toa mali zao kwa kuitafuta radhi ya Mwenyezi Mungu na
  10. Akasema: Hakika ujuzi uko kwa Mwenyezi Mungu. Mimi nakufikishieni niliyo tumwa. Lakini nakuoneni kuwa nyinyi

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hajj with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hajj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hajj Complete with high quality
Surah Hajj Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hajj Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hajj Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hajj Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hajj Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hajj Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hajj Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hajj Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hajj Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hajj Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hajj Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hajj Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hajj Al Hosary
Al Hosary
Surah Hajj Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hajj Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, December 24, 2025

Please remember us in your sincere prayers