Surah Hijr aya 40 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِلَّا عِبَادَكَ مِنْهُمُ الْمُخْلَصِينَ﴾
[ الحجر: 40]
Ila waja wako walio safika.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Except, among them, Your chosen servants."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ila waja wako walio safika.
Wala hawatoepukana na upotovu wangu ila wale waja wako walio kufanyia ikhlasi Wewe na nisio weza kuzimiliki nyoyo zao kwa zilivyo kuwa imara kwa kukumbuka Wewe.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika walio amini na wakatenda mema, hao ndio bora wa viumbe.
- Na Muhammad hakuwa ila ni Mtume tu. Wamekwisha pita kabla yake Mitume. Je, akifa au
- Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini.
- Hakika amri yake anapo taka kitu ni kukiambia tu: Kuwa! Na kikawa.
- Enyi watu! Umekufikieni ushahidi kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Na tumekuteremshieni Nuru iliyo wazi.
- Nao wako juu ya viti vya enzi wakiangalia.
- Je! Mnaiona mbegu ya uzazi mnayo idondokeza?
- Tungeli taka tungeli yafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu,
- Na hakika wao kwetu sisi ni wateuliwa walio bora.
- Watasema: Ole wetu! Hii ndiyo Siku ya Malipo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



