Surah Nahl aya 59 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nahl aya 59 in arabic text(The Bee).
  
   

﴿يَتَوَارَىٰ مِنَ الْقَوْمِ مِن سُوءِ مَا بُشِّرَ بِهِ ۚ أَيُمْسِكُهُ عَلَىٰ هُونٍ أَمْ يَدُسُّهُ فِي التُّرَابِ ۗ أَلَا سَاءَ مَا يَحْكُمُونَ
[ النحل: 59]

Anajificha asionekane na watu kwa ubaya wa aliyo bashiriwa! Je, akae naye juu ya fedheha hiyo au amfukie udongoni? Tazama uovu wa wanavyo hukumu!

Surah An-Nahl in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


He hides himself from the people because of the ill of which he has been informed. Should he keep it in humiliation or bury it in the ground? Unquestionably, evil is what they decide.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Anajificha asionekane na watu kwa ubaya wa aliyo bashiriwa! Je,akae naye juu ya fedheha hiyo au amfukie udongoni? Tazama uovu wa wanavyohukumu!


Anajaribu kujificha watu wasiione huzuni ya machungu yaliyo mpata kwa kupewa khabari ya binti aliye zaliwa. Anatapatapa: amwache hai juu ya fedheha anayo iona, kama anavyo jigamba? Au amzike katika udongo naye yuhai mpaka afe? Ewe msikilizaji! Zingatia uwovu wa vitendo vya watu hawa! Na uovu gani wa kumhukumia Mwenyezi Mungu mabinti ambao wao wanawachukia!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 59 from Nahl


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
    Surah Nahl Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Nahl Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Nahl Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Nahl Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Nahl Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Nahl Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Nahl Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Nahl Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Nahl Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Nahl Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Nahl Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Nahl Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Nahl Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Nahl Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Nahl Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers