Surah Assaaffat aya 103 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَمَّا أَسْلَمَا وَتَلَّهُ لِلْجَبِينِ﴾
[ الصافات: 103]
Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And when they had both submitted and he put him down upon his forehead,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.
Yule baba na mwanawe walipo iridhia hukumu ya Mwenyezi Mungu, na akamweka juu ya fungu la mchanga na akamlaza juu yake, kipaji chake kikawa juu ya ardhi, akawa tayari kumchinja.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hao ndio walio kufuru na wakakuzuieni msiingie Msikiti Mtakatifu, na wakawazuilia dhabihu kufika mahala pao.
- Na tumemuusia mwanaadamu awatendee wema wazazi wake wawili. Mama yake amechukua mimba yake kwa taabu,
- Na anapo tawala hufanya juhudi katika nchi kwa kufisidi humo na kuteketeza mimea na viumbe.
- Walio muitikia Mola wao Mlezi watapata wema. Na wasio muitikia, hata wangeli kuwa navyo vyote
- Zimo mikononi mwa Malaika waandishi,
- Kama kwamba ni ngamia wa rangi ya manjano!
- Akasema: Sikukwambia hutaweza kuvumilia kuwa pamoja nami?
- Wamefanya viapo vyao ni ngao, na wakaipinga Njia ya Mwenyezi Mungu. Basi hao watapata adhabu
- Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyo tonewa.
- Naapa kwa alfajiri,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers