Surah Yasin aya 29 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِن كَانَتْ إِلَّا صَيْحَةً وَاحِدَةً فَإِذَا هُمْ خَامِدُونَ﴾
[ يس: 29]
Hakukuwa ila ukelele mmoja tu; na mara walizimwa!
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
It was not but one shout, and immediately they were extinguished.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakukuwa ila ukelele mmoja tu; na mara walizimwa!
Kuteketezwa kwao hakukuwa ila ni kwa ukelele mmoja tu tulio wapelekea. Na mara wao wakawa ni maiti, kama moto ulio zimwa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,
- Litakase jina la Mola wako Mlezi aliye juu kabisa,
- Msiwadhanie walio kufuru kwamba watashinda katika nchi. Na makaazi yao ni Motoni, na hakika ni
- Hakika juhudi zenu bila ya shaka ni mbali mbali.
- Na kwa hakika tuliwafanyia hisani Musa na Haruni.
- Lakini walio dhulumu waliibadili kauli isiyo kuwa waliyo ambiwa. Kwa hivyo tukaiteremsha juu ya wale
- Je, mnastaajabu kukujieni mawaidha yanayotoka kwa Mola Mlezi wenu kwa njia ya mtu aliye ni
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Ninusuru kwa sababu wananikanusha.
- Si vibaya kwa kipofu, wala si vibaya kwa kiguru, wala si vibaya kwa mgonjwa, wala
- Wakasema: Malipo yake ni yule ambaye ataonekana nalo yeye huyo ndiye malipo yake. Hivi ndivyo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



