Surah Buruj aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Buruj aya 8 in arabic text(The Constellations).
  
   

﴿وَمَا نَقَمُوا مِنْهُمْ إِلَّا أَن يُؤْمِنُوا بِاللَّهِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ﴾
[ البروج: 8]

Nao hawakuona baya lolote kwao ila kuwa wakimuamini Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Msifiwa,

Surah Al-Burooj in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And they resented them not except because they believed in Allah, the Exalted in Might, the Praiseworthy,


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Nao hawakuona baya lolote kwao ila kuwa wakimuamini Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Msifiwa!


Na hapana walilo lichukia kwa hao Waumini ila ni kuwa wakimuamini Mwenyezi Mungu Mwenye nguvu ambaye adhabu yake huogopwa, Msifiwa anaye tarajiwa thawabu zake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 8 from Buruj


Ayats from Quran in Swahili

  1. Lakini mwenye kutubia baada ya dhulma yake, na akatengenea, basi Mwenyezi Mungu atapokea toba yake.
  2. (Yule mtu) akasema: Huku ndio kufarikiana baina yangu na wewe. Sasa nitakueleza maana ya yale
  3. Na akaingia mjini wakati wa kughafilika wenyeji wake, na akakuta humo watu wawili wanapigana -
  4. Je! Mola wenu Mlezi amekuteulieni wavulana, na Yeye akawafanya Malaika ni banati zake? Kwa hakika
  5. Hayo ni kwa sababu Mwenyezi Mungu habadilishi kabisa neema alizo waneemesha watu, mpaka wao wabadilishe
  6. Aliye mwacha Mwenyezi Mungu kupotea hana wa kumwongoa. Atawaacha hao wakitangatanga katika upotofu wao.
  7. Na wanasema: Ahadi hii itakuwa lini, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
  8. Akasema: Hakika mimi nachelea wasinikanushe.
  9. Je! Mlidhani ya kwamba tulikuumbeni bure na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa?
  10. Kisha hakika nyinyi Siku ya Kiyama mtafufuliwa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Buruj with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Buruj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Buruj Complete with high quality
Surah Buruj Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Buruj Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Buruj Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Buruj Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Buruj Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Buruj Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Buruj Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Buruj Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Buruj Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Buruj Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Buruj Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Buruj Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Buruj Al Hosary
Al Hosary
Surah Buruj Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Buruj Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers