Surah Al-Haqqah aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَمَّا عَادٌ فَأُهْلِكُوا بِرِيحٍ صَرْصَرٍ عَاتِيَةٍ﴾
[ الحاقة: 6]
Na ama A'di waliangamizwa kwa upepo mkali usio zuilika.
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And as for 'Aad, they were destroyed by a screaming, violent wind
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ama Adi waliangamizwa kwa upepo mkali usio zuilika.
Na ama Adi waliangamizwa kwa upepo ubaridi na mkali,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wanaume wana sehemu katika wanayo yaacha wazazi na jamaa walio karibia. Na wanawake wanayo sehemu
- Ila wale walio subiri wakatenda mema. Hao watapata msamaha na ujira mkubwa.
- Na Yeye ndiye aliye kuhuisheni kisha akakufisheni, na kisha atakufufueni. Hakika mwanaadamu hana fadhila.
- Mwanaadamu hachoki kuomba dua za kheri, na inapo mpata shari, mara huvunjika moyo akakata tamaa.
- Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu
- Na kwa hakika wao walidhani, kama mlivyo dhani nyinyi, ya kuwa Mwenyezi Mungu hatamleta Mtume.
- Au wanadhani wanao tenda maovu kwamba watatushinda? Hukumu mbaya hiyo wanayo hukumu.
- Na miji hii ipo kwenye njia inayo pitiwa.
- Basi ilipo fika amri yetu tuliigeuza nchi juu chini, na tukawateremshia mvua ya changarawe za
- Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers