Surah Al Ala aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿سَنُقْرِئُكَ فَلَا تَنسَىٰ﴾
[ الأعلى: 6]
Tutakusomesha wala hutasahau,
Surah Al-Ala in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
We will make you recite, [O Muhammad], and you will not forget,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tutakusomesha wala hutasahau!
Ewe Muhammad! Sisi tutakujaalia uwe ni mwenye kuisoma Qurani kwa ufunuo kutoka kwetu, na wala hutosahau utacho kihifadhi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Waachilie Wana wa Israili wende nasi.
- Hichi ni Kitabu kilicho pambanuliwa Aya zake, cha kusomwa kwa Kiarabu kwa watu wanao jua.
- Na usiku msujudie Yeye, na umtakase usiku, wakati mrefu.
- Naapa kwa tini na zaituni!
- Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
- Na mtachukuaje na ilhali mmekwisha ingiliana nyinyi kwa nyinyi, na wao wanawake wamechukua kwenu ahadi
- Na enyi watu wangu! Timizeni vipimo na mizani kwa uadilifu wala msiwakhini watu vitu vyao;
- Atawaongoza na awatengezee hali yao.
- Kwani huoni kwamba Mwenyezi Mungu huuingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku, na
- Ama wale walio kufuru, nitawaadhibu adhabu kali katika dunia na Akhera, wala hawatapata wa kuwanusuru.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Ala with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Ala mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Ala Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



