Surah Al Ala aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿سَنُقْرِئُكَ فَلَا تَنسَىٰ﴾
[ الأعلى: 6]
Tutakusomesha wala hutasahau,
Surah Al-Ala in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
We will make you recite, [O Muhammad], and you will not forget,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tutakusomesha wala hutasahau!
Ewe Muhammad! Sisi tutakujaalia uwe ni mwenye kuisoma Qurani kwa ufunuo kutoka kwetu, na wala hutosahau utacho kihifadhi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kadhaalika Mola wako Mlezi atakuteuwa na atakufundisha tafsiri ya mambo. Na atatimiza neema zake
- Ndio hivyo! Na anayetukuza ibada za Mwenyezi Mungu, basi hayo ni katika unyenyekevu wa nyoyo.
- Na tukazipasua ardhi kwa chemchem, yakakutana maji kwa jambo lilio kadiriwa.
- Anauliza: Lini itakuwa hiyo Siku ya Kiyama?
- Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
- Ambaye ametengeneza vizuri umbo la kila kitu; na akaanzisha kumuumba mtu kwa udongo.
- Ili awaingize Waumini wanaume na Waumini wanawake katika Bustani zipitazo mito kati yake, wadumu humo,
- Na anaye tenda mema, naye ni Muumini, basi hatakhofu kudhulumiwa wala kupunjwa.
- Sema: Mwaonaje, yakiwa maji yenu yamedidimia chini, nani atakueleteeni maji yanayo miminika?
- Basi uelekeze uso wako sawasawa kwenye Dini - ndilo umbile la Mwenyezi Mungu alilo waumbia
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Ala with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Ala mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Ala Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers