Surah Anbiya aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَمَا زَالَت تِّلْكَ دَعْوَاهُمْ حَتَّىٰ جَعَلْنَاهُمْ حَصِيدًا خَامِدِينَ﴾
[ الأنبياء: 15]
Hakikuacha hicho kuwa kilio chao mpaka tukawafanya kama walio fyekwa, wamezimika.
Surah Al-Anbiya in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And that declaration of theirs did not cease until We made them [as] a harvest [mowed down], extinguished [like a fire].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakikuacha hicho kuwa kilio chao mpaka tukawafanya kama walio fyekwa, wamezimika.
Maneno hayo hawaachi kuyakariri na kuyapigia makelele mpaka kwa adhabu yetu tukawafanya kama mimea iliyo fyekwa, na moto ulio zimika, hawana tena uhai.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Umwambie: Je! Unapenda kujitakasa?
- Enyi mlio amini! Kwa nini mnasema msiyo yatenda?
- Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!
- Basi litapo pulizwa barugumu,
- Na wanapo somewa Qur'ani hawasujudu?
- Ili tukuonyeshe baadhi ya ishara zetu kubwa.
- Sivyo hivyo! Bali nyinyi mnaikanusha Siku ya Malipo.
- Na wanapo pita karibu yao wakikonyezana.
- Na hakika tulimtuma Nuhu kwa watu wake, akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu. Nyinyi
- Alipo kufunikeni kwa usingizi uwe ni uaminisho kutoka kwake, na akakuteremshieni maji kutoka mbinguni ili
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers