Surah Tawbah aya 61 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Tawbah aya 61 in arabic text(The Repentance).
  
   

﴿وَمِنْهُمُ الَّذِينَ يُؤْذُونَ النَّبِيَّ وَيَقُولُونَ هُوَ أُذُنٌ ۚ قُلْ أُذُنُ خَيْرٍ لَّكُمْ يُؤْمِنُ بِاللَّهِ وَيُؤْمِنُ لِلْمُؤْمِنِينَ وَرَحْمَةٌ لِّلَّذِينَ آمَنُوا مِنكُمْ ۚ وَالَّذِينَ يُؤْذُونَ رَسُولَ اللَّهِ لَهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ
[ التوبة: 61]

Na miongoni mwao wapo wanao muudhi Nabii na kusema: Yeye huyu ni sikio tu. Sema: Basi ni sikio la kheri kwenu. Anamuamini Mwenyezi Mungu, na ana imani na Waumini, naye ni rehema kwa wanao amini miongoni mwenu. Na wanao muudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu watapata adhabu chungu.

Surah At-Tawbah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And among them are those who abuse the Prophet and say, "He is an ear." Say, "[It is] an ear of goodness for you that believes in Allah and believes the believers and [is] a mercy to those who believe among you." And those who abuse the Messenger of Allah - for them is a painful punishment.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na miongoni mwao wapo wanao muudhi Nabii na kusema: Yeye huyu ni sikio tu. Sema: Basi ni sikio la kheri kwenu. Anamuamini Mwenyezi Mungu, na ana imani na Waumini, naye ni rehema kwa wanao amini miongoni mwenu. Na wanao muudhi Mtume wa Mwenyezi Mungu watapata adhabu chungu.


Na wapo watu wanaafiki wanakusudia kumuudhi Nabii, na kumletea ya kumkirihi. Wao humtuhumu kuwa anapenda kusikiliza kila analo ambiwa, kweli na uwongo, na kwamba yeye anakhadaika na hayo anayo yasikia. Basi, ewe Mtume! Waambie: Huyo mnaye msengenya nyuma yake sio kama mnavyo dai. Bali yeye ni sikio la kheri kwenu. Hasikii ila la kweli, wala hakhadaiki na upotovu. Anamsadiki Mwenyezi Mungu na wahyi (ufunuo) wake, na anawasadiki Waumini, kwa sababu Imani yao inawakataza uwongo. Na yeye ni rehema kwa kila mmoja wenu anaye amini. Na hakika Mwenyezi Mungu amewaandalia wanao muudhi Mtume adhabu chungu, na kali, na ya kudumu milele.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 61 from Tawbah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na kilipo wajia Kitabu kitokacho kwa Mwenyezi Mungu kinacho thibitisha waliyo nayo - na wao
  2. Wanatafuta kumdanganya Mwenyezi Mungu na wale walio amini, lakini hawadanganyi ila nafsi zao; nao hawatambui.
  3. Na mwanaadamu huomba shari kama vile aombavyo kheri, kwani mwanaadamu ni mwenye pupa.
  4. Hakika wale walio kufuru baada ya kuamini kwao, kisha wakazidi kukufuru, toba yao haitakubaliwa, na
  5. Amemuumba mwanaadamu,
  6. Sema: Mnaonaje! Ikiwa haya yanatoka kwa Mwenyezi Mungu, nanyi ikawa ndio mmeyakataa, ni nani aliye
  7. Huwaoni wanao fanya unaafiki wanawaambia ndugu zao walio kufuru katika Watu wa Kitabu: Mkitolewa na
  8. Na walio kufuru vitendo vyao ni kama sarabi (mazigazi) uwandani. Mwenye kiu huyadhania ni maji.
  9. Kwani? Hakika Mola wake Mlezi alikuwa akimwona!
  10. Ewe Nabii! Wahimize Waumini wende vitani. Wakiwapo kati yenu ishirini wanao subiri watawashinda mia mbili.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Tawbah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Tawbah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tawbah Complete with high quality
Surah Tawbah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Tawbah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Tawbah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Tawbah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Tawbah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Tawbah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Tawbah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Tawbah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Tawbah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Tawbah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Tawbah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Tawbah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Tawbah Al Hosary
Al Hosary
Surah Tawbah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Tawbah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 17, 2025

Please remember us in your sincere prayers