Surah Yusuf aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَجَاءُوا أَبَاهُمْ عِشَاءً يَبْكُونَ﴾
[ يوسف: 16]
Wakaja kwa baba yao usiku wakilia.
Surah Yusuf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they came to their father at night, weeping.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakaja kwa baba yao usiku wakilia.
Walirejea kwa baba yao usiku, wakijitia huzuni, na kupiga makelele kwa kilio!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika Ibrahim alikuwa mpole, ana huruma, na mwepesi wa kurejea kwa Mwenyezi Mungu.
- Hebu angalia! Ati wanafunika vilivyomo vifuani mwao ili wamfiche Mwenyezi Mungu! Jueni kuwa wanapo jigubika
- Basi subiri kwa subira njema.
- Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani?
- Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni shahidi baina yetu na nyinyi. Hakika sisi tulikuwa hatuna khabari
- Watu wa Firauni. Hawaogopi?
- Na hakika wewe unafundishwa Qur'ani inayo tokana kwake Mwenye hikima Mwenye kujua.
- Bali Saa ya Kiyama ndio miadi yao, na Saa hiyo ni nzito zaidi na chungu
- Kina A'di walikanusha. Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu?
- Hao ndio ambao hawatakuwa na kitu Akhera ila Moto, na yataharibika waliyo yafanya, na yatapotea
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



