Surah Zumar aya 65 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Zumar aya 65 in arabic text(The Crowds).
  
   

﴿وَلَقَدْ أُوحِيَ إِلَيْكَ وَإِلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكَ لَئِنْ أَشْرَكْتَ لَيَحْبَطَنَّ عَمَلُكَ وَلَتَكُونَنَّ مِنَ الْخَاسِرِينَ﴾
[ الزمر: 65]

Na kwa yakini yamefunuliwa kwako na kwa walio kuwa kabla yako: Bila ya shaka ukimshirikisha Mwenyezi Mungu a'mali zako zitaanguka, na lazima utakuwa miongoni mwa wenye kukhasiri.

Surah Az-Zumar in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And it was already revealed to you and to those before you that if you should associate [anything] with Allah, your work would surely become worthless, and you would surely be among the losers."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na kwa yakini yamefunuliwa kwako na kwa walio kuwa kabla yako: Bila ya shaka ukimshirikisha Mwenyezi Mungu amali zako zitaanguka, na lazima utakuwa miongoni mwa wenye kukhasiri.


Na ninaapa: Bila ya shaka, umepewa Wahyi, wewe, Muhammad na Mitume walio kuwa kabla yako, kwamba bila ya shaka ukimshirikisha Mwenyezi Mungu na chochote kile basi hapana shaka Mwenyezi Mungu atazibatilisha amali zako, na utakuwa katika watu walio khasirika ukomo wa kukhasiri.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 65 from Zumar


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi usiwat'ii wanao kadhibisha.
  2. Sema: Hii ndiyo Njia yangu - ninalingania kwa Mwenyezi Mungu kwa kujua - mimi na
  3. Wanayumba yumba baina ya huku na huko. Huku hawako na huko hawako. Na ambaye Mwenyezi
  4. Na akawaundia ndama, kiwiliwili chenye sauti. Na wakasema: Huyu ndiye mungu wenu, na mungu wa
  5. Walisema: Je! Tukisha kufa tukawa udongo na mifupa ndio tutafufuliwa?
  6. Na kisha akajaalia uzao wake utokane na kizazi cha maji madhaifu.
  7. Enyi mlio amini! Kuleni vizuri tulivyo kuruzukuni, na mumshukuru Mwenyezi Mungu, ikiwa kweli mnamuabudu Yeye
  8. Hakika wanao ziamini Aya zetu ni hao tu ambao wakikumbushwa hizo, basi wao huanguka kusujudu,
  9. Enyi watu! Muabuduni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni nyinyi na wale wa kabla yenu, ili
  10. Hayo ni kwa sababu Mwenyezi Mungu ameteremsha Kitabu kwa haki. Na wale walio khitilafiana katika

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Zumar with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Zumar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zumar Complete with high quality
Surah Zumar Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Zumar Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Zumar Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Zumar Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Zumar Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Zumar Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Zumar Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Zumar Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Zumar Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Zumar Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Zumar Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Zumar Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Zumar Al Hosary
Al Hosary
Surah Zumar Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Zumar Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, August 22, 2025

Please remember us in your sincere prayers