Surah Zumar aya 66 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بَلِ اللَّهَ فَاعْبُدْ وَكُن مِّنَ الشَّاكِرِينَ﴾
[ الزمر: 66]
Bali muabudu Mwenyezi Mungu tu, na uwe miongoni mwa wenye kushukuru.
Surah Az-Zumar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Rather, worship [only] Allah and be among the grateful.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Bali muabudu Mwenyezi Mungu tu, na uwe miongoni mwa wenye kushukuru.
Ewe Mtume! Usiwakubalie kwa hayo wanayo kutaka, bali muabudu Mwenyezi Mungu peke yake, na uwe katika wanao mshukuru Yeye kwa neema zake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ila maji yamoto sana na usaha,
- Kila nafsi imo rahanini kwa mabaya iliyo yachuma.
- Na milima itaondolewa na itakuwa kama sarabi.
- Huo ni mgawanyo wa dhulma!
- Hasha! Hakika maandiko ya watu wema bila ya shaka yamo katika I'liyyin.
- Na kwamba hakika Saa itakuja hapana shaka kwa hilo, na kwamba hakika Mwenyezi Mungu atawafufua
- Kisha kula katika kila matunda, na upite katika njia za Mola wako Mlezi zilizo fanywa
- Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.
- Basi wakisubiri Moto ndio maskani yao. Na wakiomba radhi hawakubaliwi.
- Na Nuhu alimwomba Mola wake Mlezi: Ee Mola Mlezi wangu! Hakika mwanangu ni katika ahali
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zumar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zumar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zumar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



