Surah Zumar aya 66 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بَلِ اللَّهَ فَاعْبُدْ وَكُن مِّنَ الشَّاكِرِينَ﴾
[ الزمر: 66]
Bali muabudu Mwenyezi Mungu tu, na uwe miongoni mwa wenye kushukuru.
Surah Az-Zumar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Rather, worship [only] Allah and be among the grateful.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Bali muabudu Mwenyezi Mungu tu, na uwe miongoni mwa wenye kushukuru.
Ewe Mtume! Usiwakubalie kwa hayo wanayo kutaka, bali muabudu Mwenyezi Mungu peke yake, na uwe katika wanao mshukuru Yeye kwa neema zake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Lakini Sisi tuliziumba kaumu, na ukawa mrefu umri juu yao. Wala hukuwa mkaazi na watu
- Na pia ndege walio kusanywa makundi kwa makundi; wote walikuwa wanyenyekevu kwake.
- Na Mwenyezi Mungu anataka kukurejezeni kwenye ut'iifu wake, na wanao taka kufuata matamanio wanataka mkengeuke
- Alipo simama mwovu wao mkubwa,
- Ati anaye umba ni kama asiye umba? Basi hebu, hamkumbuki?
- Hasha! Tutaandika anayo yasema, tutamkunjulia muda wa adhabu.
- Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari.
- Wakati nyota zitakapo futwa,
- Na Ufalme wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu; na Mwenyezi Mungu ni Mwenye
- Na ndugu zao wanawavutia kwenye upotofu, kisha wao hawaachi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zumar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zumar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zumar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers