Surah Nahl aya 66 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nahl aya 66 in arabic text(The Bee).
  
   

﴿وَإِنَّ لَكُمْ فِي الْأَنْعَامِ لَعِبْرَةً ۖ نُّسْقِيكُم مِّمَّا فِي بُطُونِهِ مِن بَيْنِ فَرْثٍ وَدَمٍ لَّبَنًا خَالِصًا سَائِغًا لِّلشَّارِبِينَ
[ النحل: 66]

Na hakika katika nyama hoa nyinyi mna mazingatio. Tunakunywesheni katika vile viliomo matumboni mwao, vikatoka baina ya mavi na damu, maziwa safi mazuri kwa wanywao.

Surah An-Nahl in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And indeed, for you in grazing livestock is a lesson. We give you drink from what is in their bellies - between excretion and blood - pure milk, palatable to drinkers.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na hakika katika nyama hoa nyinyi mna mazingatio. Tunakunywesheni katika vile viliomo matumboni mwao, vikatoka baina ya mavi na damu, maziwa safi mazuri kwa wanywao.


Na enyi watu! Hakika katika nyama hoa, yaani mifugo, ngamia, ngombe, na kondoo na mbuzi, mna mawaidha yanayo faa kuzingatiwa na kufuatwa uwongofu wake wa kumtoa mtu ujingani akaingia kumjua Mwenye kuumba, Aliye anzisha kila kitu, Mwenye hikima. Na Sisi tunakunywesheni kutokana na baadhi ya viliomo matumboni mwa hao wanyama vilio zidi katika chakula na damu maziwa safi, matamu, mepesi kuyapata kwa wanao kunywa. Katika viwele vya wanyama wa mifugo imo namna ya mitoki (glands) ambayo inachuja maziwa. Mitoki hiyo inanyweshwa na mishipa inayo leta madda maalumu kutokana na damu, na (chyle), hicho ni chakula kilicho tayarishwa. Viwili hivyo huwa vimekwisha lainishwa kwa kumezwa kama ni chakula. Kisha hapo hizo glands za maziwa huteuwa sehemu yenye kuhitajiwa kwa kufanya maziwa kutokana na vitu viwili hivyo, damu na chyle, na humiminiwa maji maalumu kugeuza hivyo vikawa maziwa yenye kukhitalifiana na asili yake kwa rangi na utamu kabisa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 66 from Nahl


Ayats from Quran in Swahili


Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Nahl with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Nahl mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nahl Complete with high quality
Surah Nahl Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Nahl Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Nahl Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Nahl Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Nahl Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Nahl Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Nahl Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Nahl Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Nahl Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Nahl Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Nahl Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Nahl Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Nahl Al Hosary
Al Hosary
Surah Nahl Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Nahl Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب