Surah Anam aya 66 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anam aya 66 in arabic text(The Cattle).
  
   

﴿وَكَذَّبَ بِهِ قَوْمُكَ وَهُوَ الْحَقُّ ۚ قُل لَّسْتُ عَلَيْكُم بِوَكِيلٍ
[ الأنعام: 66]

Na watu wako wameikanusha, nayo ni Haki. Sema: Mimi sikuwakilishwa juu yenu.

Surah Al-Anam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


But your people have denied it while it is the truth. Say, "I am not over you a manager."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na watu wako wameikanusha, nayo ni Haki. Sema: Mimi sikuwakilishwa juu yenu.


Na kaumu yako wameikanusha Qurani, nayo ni Haki ambayo haina cha kukanushwa ndani yake. Ewe Nabii! Waambie: Mimi sikuwekwa kuwa ni muwakilishi wa kukulindeni, na kupima vitendo vyenu na kukulipeni kwavyo. Bali mambo yenu katika hayo yako kwa Mwenyezi Mungu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 66 from Anam


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika hao walikuwa kabla ya haya wakiishi maisha ya anasa.
  2. Na kila mmoja anao upande anao elekea. Basi shindanieni mema. Popote mlipo Mwenyezi Mungu atakuleteni
  3. Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.
  4. Alipo wapa katika fadhila yake wakaifanyia ubakhili na wakageuka, na huku wakipuuza.
  5. Ndio kama hivi tumekutuma kwa umma ambao wamekwsiha pita kabla yao umati nyengine, ili uwasomee
  6. Nao husema: Angeli penda Mwingi wa Rehema tusingeli waabudu sisi. Hawana ujuzi wowote wa hayo!
  7. Akaambiwa: Liingie behewa la hili jumba. Alipo liona alidhani ni maji, na akapandisha nguo mpaka
  8. Itakuwaje! Nao wakikushindeni hawatazami kwenu udugu wala ahadi. Wanakufurahisheni kwa midomo yao tu, na nyoyo
  9. Hao ndio tunao wapokelea bora ya vitendo vyao walivyo vitenda, na tunayasamehe makosa yao. Watakuwa
  10. Na Mwenyezi Mungu ameumba kila kinyama kutokana na maji. Wengine katika wao huenda kwa matumbo

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Anam with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Anam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anam Complete with high quality
Surah Anam Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Anam Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Anam Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Anam Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Anam Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Anam Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Anam Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Anam Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Anam Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Anam Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Anam Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Anam Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Anam Al Hosary
Al Hosary
Surah Anam Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Anam Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, September 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers