Surah Hijr aya 34 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ فَاخْرُجْ مِنْهَا فَإِنَّكَ رَجِيمٌ﴾
[ الحجر: 34]
(Mwenyezi Mungu) akasema: Basi toka humo, kwani hakika wewe ni maluuni!
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Allah] said, "Then get out of it, for indeed, you are expelled.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
(Mwenyezi Mungu) akasema: Basi toka humo, kwani hakika wewe ni maluuni!
Mwenyezi Mungu Mtukufu akasema: Ukiwa wewe umekuwa aasi, umetokana na utiifu wangu, basi tokelea mbali kwenye Bustani hii! Kwani hakika wewe umefukuzwa kwenye rehema yangu pahala pa hishima.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
- Sema: Mwaonaje Mwenyezi Mungu akanyakua kusikia kwenu, na kuona kwenu, na akaziziba nyoyo zenu, ni
- Basi nawapigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu wale ambao wanao uza uhai wa dunia kwa
- Wala msiseme uwongo, kwa kuropokwa na ndimi zenu: Hichi halali, na hichi haramu - mkimzulia
- Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu kwa ajili ya watu wote kwa Haki. Basi mwenye kuongoka ni
- Na wakikanusha Aya zetu kwa nguvu.
- Sema: Nyinyi mnayo miadi ya Siku ambayo hamtaakhirika nayo kwa saa moja, wala hamtaitangulia.
- Na tumefika kwako kwa Haki, na hakika sisi tunasema kweli.
- Na asiye pata mtumwa kumkomboa, basi na afunge miezi miwili mfululizo kabla hawajagusana. Na asiye
- Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers