Surah Hijr aya 35 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّ عَلَيْكَ اللَّعْنَةَ إِلَىٰ يَوْمِ الدِّينِ﴾
[ الحجر: 35]
Na hakika juu yako ipo laana mpaka Siku ya Malipo.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, upon you is the curse until the Day of Recompense."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika juu yako ipo laana mpaka Siku ya Malipo.
Na Mimi nimekwisha kuhukumia ubaidike na rehema na utukufu mpaka Siku ya Kiyama, Siku ya Hisabu na Malipo. Na hapo ndipo utapo pata adhabu, wewe na wanao kufuata .
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha.
- Wakasema wale wanao jivuna: Sisi tunayakataa hayo mnayo yaamini.
- Mwenyezi Mungu huwaongoa wenye kufuata radhi yake katika njia za salama, na huwatoa katika giza
- Hili ni Tangazo liwafikie watu, liwaonye, na wapate kujua kuwa hakika Yeye ni Mungu Mmoja,
- Humuingiza amtakaye katika rehema yake. Na wenye kudhulumu amewawekea adhabu iliyo chungu.
- Na tukamwokoa yeye na Luut'i tukawapeleka kwenye nchi tulio ibariki kwa ajili ya walimwengu wote.
- Mwenyezi Mungu tu ndiye Mwenye dunia na Akhera.
- Kwa hivyo tutawatoa katika hao wale walio amini.
- Wanaume wana sehemu katika wanayo yaacha wazazi na jamaa walio karibia. Na wanawake wanayo sehemu
- Na kaumu ya Nuhu hapo mbele. Hakika hao walikuwa watu wapotovu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



