Surah Muminun aya 68 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَفَلَمْ يَدَّبَّرُوا الْقَوْلَ أَمْ جَاءَهُم مَّا لَمْ يَأْتِ آبَاءَهُمُ الْأَوَّلِينَ﴾
[ المؤمنون: 68]
Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then have they not reflected over the Qur'an, or has there come to them that which had not come to their forefathers?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?
Je! Hawa wenye kupuuza wamekuwa wajinga hata hawakuizingatia Qurani wakaijua kwamba hii hakika ni Haki? Au huu wito wa Muhammad kwao umekuwa ni namna mbali kuliko walio kuja nayo Mitume wengine kwa kaumu zilizo kwisha tangulia walio ambao baba zao waliwawahi?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! makafiri wamelipwa malipo ya yale waliyo kuwa wakiyatenda?
- Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?
- Umemwona yule anaye mkataza
- Hakika Mwenyezi Mungu kakupeni Sharia ya kufungua viapo vyenu, na Mwenyezi Mungu ni Mola wenu.
- Je! Hawaoni ya kwamba tunayapeleka maji kwenye ardhi kavu, kisha kwayo tunaitoa mimea wanayo kula
- Sema: Mwombeni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwombeni Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalo
- Basi walipo mchukua na wakakubaliana wamtumbukize ndani ya kisima, tulimfunulia Yusuf: Hapana shaka yoyote utakuja
- Hawajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anayajua wanayo yaficha na wanayo yatangaza?
- Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,
- Mwenyezi Mungu amekusamehe! Kwa nini ukawapa ruhusa kabla ya kubainikia kwako wanao sema kweli, na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers