Surah Muminun aya 68 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَفَلَمْ يَدَّبَّرُوا الْقَوْلَ أَمْ جَاءَهُم مَّا لَمْ يَأْتِ آبَاءَهُمُ الْأَوَّلِينَ﴾
[ المؤمنون: 68]
Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then have they not reflected over the Qur'an, or has there come to them that which had not come to their forefathers?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?
Je! Hawa wenye kupuuza wamekuwa wajinga hata hawakuizingatia Qurani wakaijua kwamba hii hakika ni Haki? Au huu wito wa Muhammad kwao umekuwa ni namna mbali kuliko walio kuja nayo Mitume wengine kwa kaumu zilizo kwisha tangulia walio ambao baba zao waliwawahi?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Zilizo inuliwa, zilizo takaswa.
- Hao watakuwa katika Mabustani, wawe wanaulizana
- Basi ukiwakuta vitani wakimbize walio nyuma yao ili wapate kukumbuka.
- Akasema: Enyi watu wangu! Mwaonaje ikiwa ninazo dalili zilizo wazi kutokana na Mola wangu Mlezi,
- Na akaziunga nyoyo zao. Na lau wewe ungeli toa vyote viliomo duniani usingeli weza kuziunga
- Nao hawana ujuzi wowote kwa hayo isipo kuwa wanafuata dhana tu. Na dhana haisaidii chochote
- Na rejeeni kwa Mola wenu Mlezi, na silimuni kwake, kabla ya kukujieni adhabu. Kisha hapo
- Sema: Basi leteni Kitabu kinacho toka kwa Mwenyezi Mungu chenye kuongoka zaidi kuliko hivi viwili
- Basi Malaika wote pamoja walimsujudia,
- Na tumezilinda na kila shetani afukuzwaye.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers