Surah Muminun aya 68 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَفَلَمْ يَدَّبَّرُوا الْقَوْلَ أَمْ جَاءَهُم مَّا لَمْ يَأْتِ آبَاءَهُمُ الْأَوَّلِينَ﴾
[ المؤمنون: 68]
Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then have they not reflected over the Qur'an, or has there come to them that which had not come to their forefathers?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?
Je! Hawa wenye kupuuza wamekuwa wajinga hata hawakuizingatia Qurani wakaijua kwamba hii hakika ni Haki? Au huu wito wa Muhammad kwao umekuwa ni namna mbali kuliko walio kuja nayo Mitume wengine kwa kaumu zilizo kwisha tangulia walio ambao baba zao waliwawahi?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je, mnafanya kuwanywesha maji Mahujaji na kuamirisha Msikiti Mtakatifu ni sawa na mwenye kumuamini Mwenyezi
- Nao wako mbioni, vichwa juu, na macho hayapepesi, na nyoyo zao tupu.
- Huo ndio mwendo kwa Mitume tulio watuma kabla yako. Wala hupati mabadiliko katika mwendo wetu.
- Wakasema: Ewe Musa! Je, utatupa wewe, au tutakuwa sisi tutao tupa?
- Kisha nyinyi kwa nyinyi mnauwana, na mnawatoa baadhi yenu majumbani kwao, mkisaidiana kwa dhambi na
- Je! Mnauona moto mnao uwasha?
- Hawatakufaeni jamaa zenu, wala watoto wenu Siku ya Kiyama. Mwenyezi Mungu atapambanua baina yenu, na
- Je! Wanadhani watu wataachwa kwa kuwa wanasema: Tumeamini. Nao wasijaribiwe?
- Hakika Mwenyezi Mungu anaamrisha kufanya uadilifu, na hisani, na kuwapa jamaa; na anakataza uchafu, na
- Hasha! Usimt'ii! Nawe sujudu na ujongee!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers