Surah Muminun aya 68 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Muminun aya 68 in arabic text(The Believers).
  
   

﴿أَفَلَمْ يَدَّبَّرُوا الْقَوْلَ أَمْ جَاءَهُم مَّا لَمْ يَأْتِ آبَاءَهُمُ الْأَوَّلِينَ﴾
[ المؤمنون: 68]

Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?

Surah Al-Muminun in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Then have they not reflected over the Qur'an, or has there come to them that which had not come to their forefathers?


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?


Je! Hawa wenye kupuuza wamekuwa wajinga hata hawakuizingatia Qurani wakaijua kwamba hii hakika ni Haki? Au huu wito wa Muhammad kwao umekuwa ni namna mbali kuliko walio kuja nayo Mitume wengine kwa kaumu zilizo kwisha tangulia walio ambao baba zao waliwawahi?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 68 from Muminun


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na haiwi Muumini kumuuwa Muumini ila kwa kukosea. Na mwenye kumuuwa Muumini kwa kukosea basi
  2. Katika sura yoyote aliyo ipenda akakujenga.
  3. Hakika Mwenyezi Mungu hasamehe kushirikishwa, na husamehe yaliyo duni ya hilo kwa amtakaye. Na anaye
  4. Sivyo hivyo, bali anaye timiza ahadi yake na akamchamngu basi Mwenyezi Mungu huwapenda wachamngu.
  5. Na hatuwatumi Mitume ila wawe wabashiri na waonyaji. Na walio kufuru wanabishana kwa uwongo, ili
  6. Nasi tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.
  7. Hakika Mwenyezi Mungu anakuamrisheni mzirudishe amana kwa wenyewe. Na mnapo hukumu baina ya watu mhukumu
  8. Walikuwa hawakatazani maovu waliyo kuwa wakiyafanya. Hakika ni maovu yalioje mambo waliyo kuwa wakiyafanya!
  9. Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!
  10. T'alaka ni mara mbili. Kisha ni kukaa kwa wema au kuachana kwa vizuri. Wala si

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Surah Muminun Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Muminun Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Muminun Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Muminun Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Muminun Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Muminun Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Muminun Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Muminun Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Muminun Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Muminun Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Muminun Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Muminun Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Muminun Al Hosary
Al Hosary
Surah Muminun Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Muminun Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, May 13, 2025

Please remember us in your sincere prayers