Surah Ahzab aya 68 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿رَبَّنَا آتِهِمْ ضِعْفَيْنِ مِنَ الْعَذَابِ وَالْعَنْهُمْ لَعْنًا كَبِيرًا﴾
[ الأحزاب: 68]
Mola wetu Mlezi! Wape wao adhabu mara mbili, na uwalaani laana kubwa.
Surah Al-Ahzab in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Our Lord, give them double the punishment and curse them with a great curse."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mola wetu Mlezi! Wape wao adhabu mara mbili, na uwalaani laana kubwa.
Mola wetu Mlezi! Wajaalie adhabu yao iwe mardufu, na uwafukuze kwenye rehema yako kabisa kwa kadri ya madhambi yao na makosa yao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
- Siku ambayo zitawashuhudia ndimi zao na mikono yao na miguu yao kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
- Na mti utokao katika mlima wa Sinai, unatoa mafuta na kuwa kitoweo kwa walao.
- Je! Unaweza kuwasikilizisha viziwi, au unaweza kuwaongoa vipofu na waliomo katika upotofu ulio wazi?
- Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi,
- Na tunaye mzeesha tunamrudisha nyuma katika umbo. Basi je! hawazingatii?
- Watapata humo kila namna ya matunda na watapata kila watakacho kitaka.
- Na Luut'i tukampa hukumu na ilimu na tukamwokoa na ule mji ulio kuwa ukifanya maovu.
- Na akiwa (mdaiwa) ana shida, basi (mdai) angoje mpaka afarijike. Na mkiifanya deni kuwa ni
- Na haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwahisabu watu kuwa wamepotea baada ya kwisha waongoza mpaka awabainishie
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ahzab with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ahzab mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahzab Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers