Surah Anbiya aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يُسَبِّحُونَ اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ لَا يَفْتُرُونَ﴾
[ الأنبياء: 20]
Wanamtakasa usiku na mchana, wala hawanyong'onyei.
Surah Al-Anbiya in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They exalt [Him] night and day [and] do not slacken.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wanamtakasa usiku na mchana, wala hawanyongonyei.
Wanamtakasa aliye tukuka shani yake na kila lisio muelekea. Kumtakasa huku hakusiti, bali huo ni mtakaso wa daima, hawana shughuli nyengine ya kuwashughulisha.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi mlio amini! Mwenyezi Mungu atakujaribuni kidogo kwa wanyama wa kuwinda inayo wafikia mikono yenu
- Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya
- Na waache kwa muda.
- Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
- Na ambao wanahifadhi tupu zao.
- Ingiza mkono wako kwenye mfuko wako, utatoka mweupe pasipo na ubaya. Na jiambatishe mkono wako
- Wanapo pokea wapokeaji wawili, wanao kaa kuliani na kushotoni.
- Akasema: Kilete basi, kama wewe ni katika wasemao kweli.
- Basi itakapo fika hiyo balaa kubwa,
- Na walipo sema wanaafiki na wale wenye maradhi katika nyoyo zao: Mwenyezi Mungu na Mtume
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers