Surah Anbiya aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يُسَبِّحُونَ اللَّيْلَ وَالنَّهَارَ لَا يَفْتُرُونَ﴾
[ الأنبياء: 20]
Wanamtakasa usiku na mchana, wala hawanyong'onyei.
Surah Al-Anbiya in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They exalt [Him] night and day [and] do not slacken.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wanamtakasa usiku na mchana, wala hawanyongonyei.
Wanamtakasa aliye tukuka shani yake na kila lisio muelekea. Kumtakasa huku hakusiti, bali huo ni mtakaso wa daima, hawana shughuli nyengine ya kuwashughulisha.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Haiwezi kuwa mtu aliye pewa na Mwenyezi Mungu Kitabu na hikima na Unabii kisha awaambie
- Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?
- Enyi Watu wa Kitabu! Mbona kweli mnaivisha uwongo, na kweli mnaificha na hali mnajua?
- Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao,
- Wanaafiki wanaogopa isije teremshwa Sura itakayo watajia yaliyomo katika nyoyo zao. Sema: Fanyeni mzaha! Hakika
- Na Mwenyezi Mungu amekuotesheni katika ardhi kama mimea.
- Wakasema: Mpe muda yeye na nduguye na uwatume mijini wapigao mbiu ya mgambo.
- Mola wenu Mlezi anakujueni vilivyo. Akipenda atakurehemuni, na akipenda atakuadhibuni. Na hatukukutuma ili uwe mlinzi
- Ameangamia mwanaadamu! Nini kinacho mkufurisha?
- Na bila ya shaka Iblisi alihakikisha ile dhana yake juu yao. Nao walimfuata, isipo kuwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



