Surah Hijr aya 68 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ إِنَّ هَٰؤُلَاءِ ضَيْفِي فَلَا تَفْضَحُونِ﴾
[ الحجر: 68]
Akasema: Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Lot] said, "Indeed, these are my guests, so do not shame me.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Akasema: (Luuti) Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.
Luuti akaogopa wasije wakatenda vitendo vyao viovu. Akasema: Hawa ni wageni wangu, basi msinifedheheshe kwa vitendo vyenu vibaya.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Njia za mbinguni ili nikamwone Mungu wa Musa. Na kwa hakika mimi bila ya shaka
- Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri
- Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala
- Siku zitakapo tikisika mbingu kwa mtikiso,
- Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. Wakasema: Hakika sisi tumetumwa
- Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.
- Basi Mwenyezi Mungu akatufanyia hisani na akatulinda na adhabu ya upepo wa Moto.
- Na hakuna siri katika mbingu na ardhi ila imo katika Kitabu kinacho bainisha.
- Kesho watajua ni nani huyo mwongo mwenye kiburi.
- Na hiki ni Kitabu tulicho kiteremsha, kilicho barikiwa, chenye kuhakikisha yaliyo tangulia, na ili uuwonye
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب