Surah Nuh aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقَدْ أَضَلُّوا كَثِيرًا ۖ وَلَا تَزِدِ الظَّالِمِينَ إِلَّا ضَلَالًا﴾
[ نوح: 24]
Na hao walikwisha wapoteza wengi, wala usiwazidishie walio dhulumu ila kupotea.
Surah Nuh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And already they have misled many. And, [my Lord], do not increase the wrongdoers except in error."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hao walikwisha wapoteza wengi, wala usiwazidishie walio dhulumu ila kupotea.
Na miungu hii iliwapoteza watu wengi. Na wala huwazidishii wenye kuzidhulumu nafsi zao kwa ukafiri na inda, ili kuzidi kubaidika na Haki.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sio wema kuwa mnaelekeza nyuso zenu upande wa mashariki na magharibi. Bali wema ni wa
- Akasema: Haki! Na haki ninaisema.
- Na hakika hiyo imo katika Asili ya Maandiko yalioko kwetu, ni tukufu na yenye hikima.
- Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!
- Ya kwamba mumuabudu Mwenyezi Mungu, na mumche Yeye, na mumt'ii.
- Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake.
- Na mtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni wa kutegemewa.
- Humo hawatasikia upuuzi, ila Salama tu. Na watapata humo riziki zao asubuhi na jioni.
- Na kwamba ni juu yake ufufuo mwengine.
- Sema: Mwaonaje ikikujieni adhabu ya Mwenyezi Mungu, au ikakufikieni hiyo Saa - mtamwomba asiye kuwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nuh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nuh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nuh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers