Surah Anam aya 69 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anam aya 69 in arabic text(The Cattle).
  
   

﴿وَمَا عَلَى الَّذِينَ يَتَّقُونَ مِنْ حِسَابِهِم مِّن شَيْءٍ وَلَٰكِن ذِكْرَىٰ لَعَلَّهُمْ يَتَّقُونَ﴾
[ الأنعام: 69]

Wala wamchao Mungu hawana jukumu lolote kwao, lakini ni kukumbusha, asaa wapate kujiepusha.

Surah Al-Anam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And those who fear Allah are not held accountable for the disbelievers at all, but [only for] a reminder - that perhaps they will fear Him.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wala wamchao Mungu hawana jukumu lolote kwao, lakini ni kukumbusha, asaa wapate kujiepusha.


Na wenye kumcha Mwenyezi Mungu hawana dhambi katika dhambi za hawa madhaalimu, ikiwa wataendelea na upotovu wao. Lakini yapasa kuwasemeza na kuwakumbusha, asaa huenda wakaiogopa adhabu ya Mwenyezi Mungu, na wakaacha upotovu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 69 from Anam


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na itupe fimbo yako! Alipo iona ikitikisika kama nyoka, aligeuka nyuma wala hakungoja. Ewe Musa!
  2. Na unapo waona wanao ziingilia Aya zetu, basi jitenge nao mpaka waingilie mazungumzo mengine. Na
  3. Mmeharimishiwa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na khaalati zenu,
  4. Ukininyooshea mkono wako kuniuwa, mimi sitakunyooshea mkono wangu kukuuwa. Hakika mimi namwogopa Mwenyezi Mungu, Mola
  5. Akasema: Hii Njia ya kujia kwangu Iliyo Nyooka.
  6. Na atakaye fanya urafiki na Mwenyezi Mungu na Mtume wake na walio amini, basi hakika
  7. Na zabibu, na mimea ya majani,
  8. Na pale ulipo toka asubuhi, ukaacha ahali zako uwapange Waumini kwenye vituo kwa ajili ya
  9. Na kama tungeli mfanya Malaika bila ya shaka tungeli mfanya kama binaadamu, na tungeli watilia
  10. Jueni kwamba Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu, na ya kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Anam with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Anam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anam Complete with high quality
Surah Anam Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Anam Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Anam Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Anam Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Anam Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Anam Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Anam Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Anam Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Anam Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Anam Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Anam Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Anam Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Anam Al Hosary
Al Hosary
Surah Anam Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Anam Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, April 26, 2025

Please remember us in your sincere prayers