Surah Fussilat aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِينَ لَا يُؤْتُونَ الزَّكَاةَ وَهُم بِالْآخِرَةِ هُمْ كَافِرُونَ﴾
[ فصلت: 7]
Ambao hawatoi Zaka na wanaikataa Akhera.
Surah Fussilat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Those who do not give zakah, and in the Hereafter they are disbelievers.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ambao hawatoi Zaka na wanaikataa Akhera.
Na washirikina wasio toa Zaka kuwapa wanao stahiki watapata adhabu kali. Na wao tu, si wenginewe, ndio wanao kataa kuwa upo uhai wa Akhera.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na katika umbo lenu na katika wanyama alio watawanya zimo Ishara kwa watu wenye yakini.
- Yeye ndiye anaye kuteremshieni maji kutoka mbinguni. Katika hayo nyinyi mnapata ya kunywa, na miti
- Zinamwangallia Mola wao Mlezi.
- Na wale ambao wanatoa walicho pewa, na hali nyoyo zao zinagopa kwa kuwa watarejea kwa
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Wakasema: Hakika wewe ni katika walio rogwa.
- Na hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila tulimfunulia ya kwamba hapana mungu isipo kuwa Mimi.
- Na wapigie mfano wa maisha ya dunia. Hayo ni kama maji tunayo yateremsha kutoka mbinguni,
- Hivi inaelekea zaidi ya kwamba watatoa ushahidi ulio sawa au wataogopa visije vikaletwa viapo vingine
- Na shika Sala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fussilat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fussilat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fussilat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers