Surah Fussilat aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِينَ لَا يُؤْتُونَ الزَّكَاةَ وَهُم بِالْآخِرَةِ هُمْ كَافِرُونَ﴾
[ فصلت: 7]
Ambao hawatoi Zaka na wanaikataa Akhera.
Surah Fussilat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Those who do not give zakah, and in the Hereafter they are disbelievers.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ambao hawatoi Zaka na wanaikataa Akhera.
Na washirikina wasio toa Zaka kuwapa wanao stahiki watapata adhabu kali. Na wao tu, si wenginewe, ndio wanao kataa kuwa upo uhai wa Akhera.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wale wanao toa mali zao usiku na mchana, kwa siri na dhaahiri, wana ujira wao
- (Firauni) akawaambia walio mzunguka: Hamsikilizi?
- Ametukuka ambaye akitaka atakujaalia yaliyo bora kuliko hayo, nayo ni mabustani yapitayo mito kati yao,
- Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
- Yeye ndiye aliye teremsha utulivu katika nyoyo za Waumini ili wazidi Imani juu ya Imani
- Akasema: Kwa kuwa umenihukumia upotofu, basi nitawavizia katika Njia yako Iliyo Nyooka.
- Hayakuwa haya ila ni mawaidha kwa walimwengu wote.
- Je! Hawaoni ya kwamba Mwenyezi Mungu, aliye ziumba mbingu na ardhi, na hakuchoka kwa kuziumba,
- Na Manabii wangapi tuliwatuma kwa watu wa zamani!
- Na hata wange ona pande linatoka mbinguni linaanguka wange sema: Ni mawingu yaliyo bebana.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Fussilat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Fussilat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fussilat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers