Surah Al Asr aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Asr aya 3 in arabic text(The Time - The Declining Day - The Epoch).
  
   

﴿إِلَّا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ وَتَوَاصَوْا بِالْحَقِّ وَتَوَاصَوْا بِالصَّبْرِ﴾
[ العصر: 3]

Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.

Surah Al-Asr in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Except for those who have believed and done righteous deeds and advised each other to truth and advised each other to patience.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.


Isipo kuwa wale walio muamini Mwenyezi Mungu na wakatenda mema, na wakadumu juu ya utiifu, na wakasemezana na kuusiana kwa kushikamana na Haki, kwa itikadi, na maneno, na vitendo. Na wakausiana wasubiri na wavumilie mashaka yanayo wapata wenye kushikamana na Dini. Basi hao ndio wenye kusalimika na hiyo khasara, wenye kufanikiwa duniani na Akhera.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 3 from Al Asr


Ayats from Quran in Swahili

  1. Watasema: Tuna nini hata hatuwaoni wale watu ambao tukiwahisabu ndio katika waovu?
  2. Na iliwafikia wakati wa asubuhi adhabu yangu ya kuendelea.
  3. Na watoto wanapo fikilia umri wa kubaalighi basi nawatake ruhusa, kama walivyo taka ruhusa wa
  4. Sema: Mimi sikwambiini kuwa ninazo khazina za Mwenyezi Mungu. Wala sijui mambo yaliyo fichikana. Wala
  5. Hakika Mwenyezi Mungu anao ufalme wa mbingu na ardhi; huhuisha na hufisha. Nanyi hamna Mlinzi
  6. Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka ni kweli,
  7. Tukamfahamisha Suleiman. Na kila mmoja wao tulimpa hukumu na ilimu. Na tuliifanya milima na ndege
  8. Na shikamaneni kwa Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala msifarikiane. Na kumbukeni neema ya
  9. Hayo ni kwa sababu hakika Mwenyezi Mungu ndiye Haki, na kwamba hakika Yeye ndiye mwenye
  10. Atazidishiwa adhabu Siku ya Kiyama, na atadumu humo kwa kufedheheka.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Asr with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Asr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Asr Complete with high quality
Surah Al Asr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Asr Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Asr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Asr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Asr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Asr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Asr Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Asr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Asr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Asr Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Asr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Asr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Asr Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Asr Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Asr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, September 27, 2025

Please remember us in your sincere prayers