Surah shura aya 32 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمِنْ آيَاتِهِ الْجَوَارِ فِي الْبَحْرِ كَالْأَعْلَامِ﴾
[ الشورى: 32]
Na katika Ishara zake ni vyombo vinavyo kwenda na kurejea baharini kama vilima.
Surah Ash_shuraa in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And of His signs are the ships in the sea, like mountains.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na katika Ishara zake ni vyombo vinavyo kwenda na kurejea baharini kama vilima.
Na katika dalili za uweza wa Mwenyezi Mungu, ni majahazi yaendayo katika bahari kama vilima virefu kwa ukubwa wake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mwenyezi Mungu amewaahidi wale walio amini miongoni mwenu na wakatenda mema, ya kwamba atawafanya makhalifa
- Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu.
- Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
- Na katika watu yupo yule ambaye maneno yake kwa maisha ya kidunia hukufurahisha; naye humshuhudisha
- Mwanaadamu ameumbwa na haraka. Nitakuonyesheni Ishara zangu. Basi msinihimize.
- Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
- Sema: Mola Mlezi wangu ameharimisha mambo machafu ya dhaahiri na ya siri, na dhambi, na
- Watakabiliana wao kwa wao kuulizana.
- Sivyo hivyo! Mtakuja jua!
- Kitabu kilicho andikwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah shura with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah shura mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter shura Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers