Surah An Naba aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَلَمْ نَجْعَلِ الْأَرْضَ مِهَادًا﴾
[ النبأ: 6]
Kwani hatukuifanya ardhi kama tandiko?
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Have We not made the earth a resting place? (Have we not smoothed the Earth's surface?)
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
kaKwani hatukuifanya ardhi ma tandiko?
Kwani wao hawaoni Ishara za uweza wetu kwamba Sisi tumeifanya ardhi imetandikwa upatikane utulivu juu yake na iwezekane kutembea juu yake?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wanasema: Lini ahadi hii, ikiwa mnasema kweli?
- Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
- Wala watu hawakuwa ila Umma mmoja tu. Kisha wakakhitalifiana. Na lau kuwa si neno lililo
- Wakasema waheshimiwa wa kaumu ya Firauni: Hakika huyo ni mchawi mjuzi.
- Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
- Hao ndio watapata adhabu mbaya kabisa, na hao katika Akhera ndio watapata khasara zaidi.
- Haitakuwa ila ukelele mmoja tu, mara wote watahudhuruishwa mbele yetu.
- Basi Firauni akawatuma mijini wapiga mbiu za mgambo.
- Hao, makaazi yao ni Motoni kwa sababu ya waliyo kuwa wakiyachuma.
- Wamenunua thamani ndogo kwa Ishara za Mwenyezi Mungu, na wakazuilia watu na Njia yake. Hakika
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



