Surah An Naba aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah An Naba aya 6 in arabic text(The Great News).
  
   

﴿أَلَمْ نَجْعَلِ الْأَرْضَ مِهَادًا﴾
[ النبأ: 6]

Kwani hatukuifanya ardhi kama tandiko?

Surah An-Naba in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Have We not made the earth a resting place? (Have we not smoothed the Earth's surface?)


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


kaKwani hatukuifanya ardhi ma tandiko?


Kwani wao hawaoni Ishara za uweza wetu kwamba Sisi tumeifanya ardhi imetandikwa upatikane utulivu juu yake na iwezekane kutembea juu yake?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 6 from An Naba


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika Malaika watawaambia wale ambao wamewafisha nao wamejidhulumu nafsi zao: Mlikuwa vipi? Watasema: Tulikuwa tunaonewa.
  2. Nenda na barua yangu hii na uwafikishie, kisha waache na utazame watarejesha nini.
  3. Na uchungu wa kutoka roho utamjia kwa haki. Hayo ndiyo uliyo kuwa ukiyakimbia.
  4. Na mkumbuke Ismail na Alyasaa na Dhulkifli, na wote hao ni katika walio bora.
  5. Na akasema: Pandeni humo kwa Bismillahi, Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, kwenda kwake na kusimama
  6. Na ukisoma Qur'ani mwombe Mwenyezi Mungu akulinde na Shetani maluuni.
  7. Na hakuna siri katika mbingu na ardhi ila imo katika Kitabu kinacho bainisha.
  8. Na nitakapo mkamilisha na kumpulizia roho inayo tokana nami, basi muangukieni kwa kumt'ii.
  9. Naye akamwambia dada yake Musa: Mfuatie. Basi naye akawa anamuangalia kwa mbali bila ya wao
  10. Kwani huoni kwamba Mwenyezi Mungu anajua vilivyomo katika mbingu na vilivyomo katika ardhi? Hauwi mnong'ono

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Surah An Naba Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah An Naba Bandar Balila
Bandar Balila
Surah An Naba Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah An Naba Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah An Naba Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah An Naba Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah An Naba Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah An Naba Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah An Naba Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah An Naba Fares Abbad
Fares Abbad
Surah An Naba Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah An Naba Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah An Naba Al Hosary
Al Hosary
Surah An Naba Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah An Naba Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب