Surah Maarij aya 43 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَوْمَ يَخْرُجُونَ مِنَ الْأَجْدَاثِ سِرَاعًا كَأَنَّهُمْ إِلَىٰ نُصُبٍ يُوفِضُونَ﴾
[ المعارج: 43]
Siku watakapotoka makaburini kwa upesi kama kwamba wanakimbilia mfundo,
Surah Al-Maarij in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The Day they will emerge from the graves rapidly as if they were, toward an erected idol, hastening.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Siku watakapotoka makaburini kwa upesi kama kwamba wanakimbilia mfundo,
Siku watakapo tolewa makaburini mbio mbio kumwendea huyo ataye waita, kama kwamba wamemweka ufundo na wakimuabudu duniani walivyo kuwa wakimkimbilia badala ya Mwenyezi Mungu,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.
- Na Mola wako Mlezi haangamizi miji mpaka ampeleke Mtume katika miji yake mikuu awasomee Ishara
- Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?
- Je! Nini wanangojea ila Saa iwajie kwa ghafla na wala wao hawatambui?
- Sisi hatuwateremshi Malaika ila kwa sababu ya haki, na hapo hawatapewa muhula.
- Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.
- Wanasema: Ushindi huu ni lini, kama mnasema kweli?
- Hakika haya ndiyo maelezo ya kweli. Na hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu tu, na hakika
- Ukikupata wema unawachukiza, na ukikusibu msiba, wao husema: Sisi tuliangalia mambo yetu vizuri tangu kwanza.
- Na siri zote za katika mbingu na ardhi ziko kwa Mwenyezi Mungu. Wala halikuwa jambo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



