Surah Tin aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَمَا يُكَذِّبُكَ بَعْدُ بِالدِّينِ﴾
[ التين: 7]
Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
Surah At-Tin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So what yet causes you to deny the Recompense?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
Basi kitu gani kinacho kupelekea kukadhibisha kufufuliwa na kulipwa baada ya kuwekwa wazi uweza wetu wa hayo?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika wanao mwogopa Mola wao Mlezi kwa ghaibu, watapata maghfira na ujira mkubwa.
- Hizi Aya za Mwenyezi Mungu tunakusomea kwa haki; basi hadithi gani watakayo iamini baada ya
- Katika sura yoyote aliyo ipenda akakujenga.
- Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo.
- Kwa Ishara wazi na Vitabu. Nasi tumekuteremshia wewe Ukumbusho ili uwabainishie watu yaliyo teremshwa kwao,
- Tulifanya agano na Wana wa Israili, na tukawatumia Mitume. Kila alipo wajia Mtume kwa wasio
- Na hakika Ibrahim alikuwa katika kundi lake,
- Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako,
- Wakasema: Je! Wewe umeifanyia haya miungu yetu, ewe Ibrahim?
- Na tukaacha humo Ishara kwa ajili ya wanao iogopa adhabu chungu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Tin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Tin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



