Surah Assaaffat aya 70 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَهُمْ عَلَىٰ آثَارِهِمْ يُهْرَعُونَ﴾
[ الصافات: 70]
Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So they hastened [to follow] in their footsteps.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.
Wao waliwakuta baba zao wamepotoka, na wao wakafanya haraka kufuata zile zile nyayo za baba zao. Wakawa mbioni kwendea njia yao, wakifuata tu wala hawachungui, kama walio timuliwa na wakihimizwa wende mbio mbio kuwafuata hao baba zao bila ya kupima wala kuzingatia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na shari ya hasidi anapo husudu.
- Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu!
- Wala asikuzuilieni Shet'ani. Hakika yeye ni adui yenu wa dhaahiri.
- Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!
- Na mtakapo wapa wanawake t'alaka, nao wakafikia kumaliza eda yao, basi warejeeni kwa wema au
- Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
- Akasema: Enyi watu wangu! Mwaonaje ikiwa ninayo dalili wazi inayo tokana na Mola wangu Mlezi,
- Na milango ya nyumba zao na vitanda wanavyo egemea juu yake,
- Wamelaanika! Popote watakapo onekana watakamatwa na watauliwa kabisa.
- Au ndio wanasema: Sisi ni wengi tutashinda tu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



