Surah Assaaffat aya 71 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَقَدْ ضَلَّ قَبْلَهُمْ أَكْثَرُ الْأَوَّلِينَ﴾
[ الصافات: 71]
Na bila ya shaka walikwisha potea kabla yao wengi wa watu wa zamani.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And there had already strayed before them most of the former peoples,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.
Na hakika walipotea njia ya sawa na njia ya Imani wengi katika mataifa yaliyo kwisha tangulia kabla ya hawa washirikina wa Makka.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ili washuhudie manufaa yao na walitaje jina la Mwenyezi Mungu katika siku maalumu juu ya
- Na wao ni mashahidi wa yale waliyo kuwa wakiwafanyia Waumini.
- Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
- Na Mwenyezi Mungu anakubainisheni Aya. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi Mwenye hikima.
- Ila wale walio subiri wakatenda mema. Hao watapata msamaha na ujira mkubwa.
- Mola wetu Mlezi! Na utupe uliyo tuahidi kwa Mitume wako, wala usituhizi Siku ya Kiyama.
- Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na A'di na Firauni na kaumu ya Lut'i.
- Kisha nyinyi kwa nyinyi mnauwana, na mnawatoa baadhi yenu majumbani kwao, mkisaidiana kwa dhambi na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers