Surah Assaaffat aya 71 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَقَدْ ضَلَّ قَبْلَهُمْ أَكْثَرُ الْأَوَّلِينَ﴾
[ الصافات: 71]
Na bila ya shaka walikwisha potea kabla yao wengi wa watu wa zamani.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And there had already strayed before them most of the former peoples,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.
Na hakika walipotea njia ya sawa na njia ya Imani wengi katika mataifa yaliyo kwisha tangulia kabla ya hawa washirikina wa Makka.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika Mola wako Mlezi atawahukumu kwa hukumu yake, naye ni Mwenye nguvu Mjuzi.
- Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa watu wakosefu,
- Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye
- Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe?
- Na tutawapa matunda, na nyama kama watavyo penda.
- Au masikini aliye vumbini.
- Na kwa hakika malipo bila ya shaka yatatokea.
- Kisha atakurudsheni humo na atakutoeni tena.
- Na sema: Hakika mimi ni mwonyaji mwenye kubainisha.
- Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



