Surah Zukhruf aya 70 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ادْخُلُوا الْجَنَّةَ أَنتُمْ وَأَزْوَاجُكُمْ تُحْبَرُونَ﴾
[ الزخرف: 70]
Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu; mtafurahishwa humo.
Surah Az-Zukhruf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Enter Paradise, you and your kinds, delighted."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu; mtafurahishwa humo.
Siku ya Kiyama wataambiwa kwa kufanyiwa hishima: Ingieni Peponi, nyinyi na wake zenu, nanyi mmo katika furaha iliyo kubwa, ambayo itadhihiri kwenye nyuso zenu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.
- Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe.
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Ninusuru kwa sababu wananikanusha.
- Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya
- Basi zilipo wafikia Ishara zetu hizo zenye kuonyesha, wakasema: Huu ni uchawi dhaahiri.
- Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?
- Na milima itakuwa kama sufi.
- Jueni kuwa vipenzi vya Mwenyezi Mungu hawatakuwa na khofu wala hawatahuzunika.
- Utawaona hao madhaalimu wanavyo kuwa na khofu kwa sababu ya waliyo yachuma, nayo yatawafika tu.
- Uteremsho wa Kitabu umetoka kwa Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zukhruf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zukhruf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zukhruf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers