Surah Furqan aya 76 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿خَالِدِينَ فِيهَا ۚ حَسُنَتْ مُسْتَقَرًّا وَمُقَامًا﴾
[ الفرقان: 76]
Wadumu humo - kituo na makao mazuri kabisa.
Surah Al-Furqan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Abiding eternally therein. Good is the settlement and residence.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wadumu humo - kituo na makao mazuri kabisa.
Na neema zao za Peponi ni za daima, hazikatiki. Pepo ndio kituo na makao mema kabisa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Zilizo tiwa alama kwa Mola wako Mlezi. Na haya hayako mbali na wenye kudhulumu wengineo.
- Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita.
- Hapo akasema yule aliye okoka katika wale wawili akakumbuka baada ya muda: Mimi nitakwambieni tafsiri
- Zipo nyuso siku hiyo zitao ng'ara,
- Ni chakula cha mwenye dhambi.
- Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na kwake mtarejeshwa.
- Ati ni kwa uzushi wao ndio wanasema:
- Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
- Basi litapo pulizwa barugumu,
- Akasema: Nipeni waja wa Mwenyezi Mungu; kwa hakika mimi kwenu ni Mtume Muaminifu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Furqan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Furqan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Furqan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



