Surah Takathur aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ لَتُسْأَلُنَّ يَوْمَئِذٍ عَنِ النَّعِيمِ﴾
[ التكاثر: 8]
Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema.
Surah At-Takathur in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then you will surely be asked that Day about pleasure.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema.
Tena naapa na natilia mkazo kwamba hakika nyinyi mtahisabiwa kwa neema mlizo deka nazo na mkazistarehea.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu
- Wawekeni humo humo mnamo kaa nyinyi kwa kadiri ya pato lenu, wala msiwaletee madhara kwa
- Na kwamba kwao Mola wako Mlezi ndio mwisho.
- Na kwa mji huu wenye amani!
- Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
- Na Thamud na kaumu Lut'i na watu wa Machakani. Hayo ndiyo makundi.
- Ewe Nabii! Waambie wake zako: Ikiwa mnataka maisha ya dunia na pambo lake, basi njooni,
- Basi subiri, hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli. Na ama tukikuonyesha baadhi ya
- Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
- Na ukiwauliza: Nani aliye ziumba mbingu na ardhi? Bila ya shaka watasema: Mwenyezi Mungu. Wewe
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Takathur with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Takathur mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Takathur Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



