Surah Zumar aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Zumar aya 8 in arabic text(The Crowds).
  
   

﴿۞ وَإِذَا مَسَّ الْإِنسَانَ ضُرٌّ دَعَا رَبَّهُ مُنِيبًا إِلَيْهِ ثُمَّ إِذَا خَوَّلَهُ نِعْمَةً مِّنْهُ نَسِيَ مَا كَانَ يَدْعُو إِلَيْهِ مِن قَبْلُ وَجَعَلَ لِلَّهِ أَندَادًا لِّيُضِلَّ عَن سَبِيلِهِ ۚ قُلْ تَمَتَّعْ بِكُفْرِكَ قَلِيلًا ۖ إِنَّكَ مِنْ أَصْحَابِ النَّارِ
[ الزمر: 8]

Na taabu inapo mfikia mtu humwomba Mola wake Mlezi naye ameelekea kwake. Kisha akimpa neema kutoka kwake, husahau yale aliyo kuwa akimwitia zamani, na akamfanyia Mwenyezi Mungu washirika ili apoteze watu njia yake. Sema: Starehe na ukafiri wako kwa muda mchache. Kwani hakika wewe utakuwa miongoni mwa watu wa Motoni.

Surah Az-Zumar in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And when adversity touches man, he calls upon his Lord, turning to Him [alone]; then when He bestows on him a favor from Himself, he forgets Him whom he called upon before, and he attributes to Allah equals to mislead [people] from His way. Say, "Enjoy your disbelief for a little; indeed, you are of the companions of the Fire."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na taabu inapo mfikia mtu humwomba Mola wake Mlezi naye ameelekea kwake. Kisha akimpa neema kutoka kwake, husahau yale aliyo kuwa akimwitia zamani, na akamfanyia Mwenyezi Mungu washirika ili apoteze watu njia yake. Sema: Starehe na ukafiri wako kwa muda mchache. Kwani hakika wewe utakuwa miongoni mwa watu wa Motoni.


Na mtu akifikiwa na shida yoyote katika shida za dunia humwomba Mola wake Mlezi, na hurejea kwake, baada ya kuwa akimpuuza. Kisha Mola wake Mlezi akimpa neema kubwa husahau zile taabu alizo kuwa akimwombea Mola wake Mlezi amwondolee na amfarijie kabla hajamneemesha kwa neema hizo. Na humfanyia Mwenyezi Mungu miungu washirika walio sawa na Yeye kwa kuwaabudu. Huyo mtu hufanya haya ili ajipoteze yeye na wenginewe waiache Njia ya Mwenyezi Mungu. Ewe Muhammad! Mwambie huyo mwenye sifa hizi kwa kumwonya: Starehe na huko kuzikanya kwako neema za Mwenyezi Mungu zilio juu yako kwa muda mchache. Kwani hakika wewe ni katika watu wa Motoni.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 8 from Zumar


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Zumar with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Zumar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zumar Complete with high quality
    Surah Zumar Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Zumar Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Zumar Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Zumar Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Zumar Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Zumar Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Zumar Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Zumar Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Zumar Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Zumar Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Zumar Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Zumar Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Zumar Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Zumar Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Zumar Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, April 8, 2025

    Please remember us in your sincere prayers