Surah Anbiya aya 108 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anbiya aya 108 in arabic text(The Prophets).
  
   

﴿قُلْ إِنَّمَا يُوحَىٰ إِلَيَّ أَنَّمَا إِلَٰهُكُمْ إِلَٰهٌ وَاحِدٌ ۖ فَهَلْ أَنتُم مُّسْلِمُونَ
[ الأنبياء: 108]

Sema: Hakika imefunuliwa kwangu ya kwamba hakika Mungu wenu ni Mungu Mmoja tu. Je! Mmesilimu?

Surah Al-Anbiya in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, "It is only revealed to me that your god is but one God; so will you be Muslims [in submission to Him]?"


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Hakika imefunuliwa kwangu ya kwamba hakika Mungu wenu ni Mungu Mmoja tu. Je! Mmesilimu?.


Ewe Nabii! Sema: Hakika kiini cha Wahyi aliyo nipa Mwenyezi Mungu ni kwamba hakika nyinyi hamna Mungu isipo kuwa Yeye. Na yote yaliyo bakia niliyo funuliwa yanafuata asili hii. Ikiwa mambo ni hivyo, basi inakuwajibikieni mjisalimishe na mnyenyekee kwa Mwenyezi Mungu peke yake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 108 from Anbiya


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwani hakika mchana una shughuli nyingi.
  2. Tulifanya agano na Wana wa Israili, na tukawatumia Mitume. Kila alipo wajia Mtume kwa wasio
  3. Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza; na tumezitia pazia nyoyo zao wasije kuyafahamu. Na upo
  4. Kwa kutakabari kwao katika nchi, na kufanya vitimbi vya uovu. Na vitimbi viovu havimsibu ila
  5. Na inapo kufikieni taabu katika bahari, hao mnao waomba wanapotea, isipo kuwa Yeye tu. Na
  6. Na kisha akajaalia uzao wake utokane na kizazi cha maji madhaifu.
  7. Hata alipo fika matokeo ya jua aliliona linawachomozea watu tusio wawekea pazia la kuwakinga nalo.
  8. Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu?
  9. Kumbuka alipo kuonyesha usingizini mwako kwamba wao ni wachache - na lau angeli kuonyesha kuwa
  10. Mwenyezi Mungu akamwambia: Ewe Iblisi! Kipi kilicho kuzuia kumt'ii yule niliye muumba kwa mikono yangu?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Anbiya with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Anbiya mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anbiya Complete with high quality
Surah Anbiya Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Anbiya Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Anbiya Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Anbiya Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Anbiya Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Anbiya Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Anbiya Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Anbiya Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Anbiya Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Anbiya Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Anbiya Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Anbiya Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Anbiya Al Hosary
Al Hosary
Surah Anbiya Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Anbiya Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, June 23, 2025

Please remember us in your sincere prayers